Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Kumekuwa na mwenge wa uhuru unaokimbizwa mikoa yote ,kuzindua miradi mbalimbali ambayo mwishoni ni mibovu,ubadhirifu na ufujaji wa mali ya umma imegundulika ndani ya miradi hiyo mfano shule,visima vya maji safi, majosho ya ngombe tumeshudia yakiwa hayana ubora! Ila wanaume na wanawake wa chadema kule bungeni angalau wanatuamsha na kujiskia tuko kwenye nchi wamegeuka NURU ya Taifa sasa hakuna anayebisha mawaziri ,wakuregenzi wanakaa kwenye nafasi zao kwa makini ili wasijefyatuliwa na chadema ambao kwa wakati huu ndio wamegeuka mwanga wa nchi ! hongera Chadema tena hongera sana