CHADEMA wamfungulia kesi Nape

Hii kesi inaweza kuwa ngumu sana kwa upande wa Nape kwa sababu kwenye madai yake (yeye Nape) ni kwamba kuna nchi za nje zinazotoa fedha kwa CHADEMA kwa makuliano ya kuuziwa/kupewa rasilimali za Tanzania. Hapa issue sio kupekea pesa, ila atatakiwa athibitishe beyond reasonable doubt kuwa kuna nchi zimetoa fedha kwa masharti wa kupewa rasilimali za Tanzania. Sasa itakuwaje kama hizo nchi zitakataa?

Kwahiyo unataka kutuambia kuna Nchi inakiboost CDM financialy?
 
Kwa hiyo watakuja na za kugushi mahakamani?

kama hazipo kweli hizo data ndio watagushi, what I mean ni kwamba kwa hizo data hawatozikosa by any means. ukiona wamezikosa basi ujue interijensia imeenda likizo
 
ukisha ona unashindwa lazima utafute maneno mengi, CCM Hata siku moja haikurupuki, unawaona walioko CCM Lakini? CDM kuna nani? labda ZITTO TU ALIYEWAAMBIA CDM WENZAKE HAKUNA MSOMI KAMA YEYE, AND ITS TRUE, Ztto akitoka cdm kwisha,, Mwambie lema alienda UINGEREZA KUKAGUA MAHELKOPTA ALIKUWA ANAKUJUA, AU NDIO ANAJINADI AJIJENGE YEYE PAMOJA NA MBOWE NA FAMILIA ZAO? HUU NI MOTO WA KIFUU, WATANZANIA WANA AKILI SANA ,,,ENDELEENI KUANDAMANA WAKATI WENGINE WAKO KWENYE UTENDAJI!

Kaka au dada usijidhalilishe hivyo, leo hii miaka 50 ya uhuru unasema zitto msomi pekee chadema huu ni ulevi wa uelewa unaoonyesha.Hujajitambua na yawezekana hujawatambua wasomi weledi
 
Hapo hakuna kesi ya kujibu kwa sababu raisi wa nchi hii ndiye mwenyekiti wa chama cha CCM na ndiye anayewateua maahakimu na majaji wote wa mahakama zote nchini.Hivyo maamuzi yote yatatolewa kwa kulinda masilahi ya Nape na CCM yake.
 
kama hazipo kweli hizo data ndio watagushi, what I mean ni kwamba kwa hizo data hawatozikosa by any means. ukiona wamezikosa basi ujue interijensia imeenda likizo
Kaka Chadema hakuna hilo.Wakigushi ina maana balozi ziko hapa hapa watu watafika huko kuutaka ukweli yaani Nape hakuwaza wakati ana boyongoka
 
Hapa issue sio kupeka pesa, ila atatakiwa athibitishe beyond reasonable doubt kuwa kuna nchi zimetoa fedha kwa masharti ya kupewa rasilimali za Tanzania. Sasa itakuwaje kama hizo nchi zitakataa?

CCM kwa kugushi achana nao, mbona hizo data watakuja nazo.

Na hizo nchi akizitaja na baadae zikaitwa Mahakamani kukiri hatimae zikakana tayari atakuwa amekiingiza Chama chake Kwenye Mgogoro wa Kidiplomasia na nchi hiyo. Je yupo tayari kwa hilo? Hii kesi ni tamu sana..
 
Kichaa akikunyang'anya nguo na ukamkimbiza ukiwa utupu basi wewe ndie kichaa. Nadhani watanzania wanaona so sioni uhalali wa kumshtaki.
 
CDM wamempeleka dogo Nape mahakamani wkt CDM hawana imani na mahakama sasa sijui itakuaje.

Cha muhimu sio maamuzi ya mahakama. Kabla ya maamuzi hayo, ukweli itakuwa umeshajulikana, wa kuumbuka kama ni Nape au CDM atakuwa ameshaumbuka tayari...
 
"Tuna ushahidi wa kutosha kuwa CHADEMA wanapokea mabioni ya shilingi kutoka kwa wafadhili wao nje ya nchi, na wanachokifanya kuitisha harambee ni kuhalalisha tu uwepo wa fedha hizo" alisikika Nape akisema kwa madaha huku akibana pua.
 
Kutokana na vyanzo vyangu vilivyopo Mahakama kuu ya Tanzania Leo Nape amefunguliwa kesi ya madai na imepewa namba 186 ya mwaka 2012.

Kesi hii ni kuhusiana na madai ya nnape kuwa CDM wana pokea pesa kutoka nje ya nchi.

Tuendelee kufuatilia


Updates.

Inaitwa civil case no.186 of 2012 ,board of registered trustees of chadema ... Plaintiff versus nnape nnauye defendant .
ushahidi upo wazi mchana peupeee nakumbuka hata slaa aliposhitakiwa kuchukua mke wa mtu alijitetea mahakamani kuwa hakujua kama ni mke wa mtu
 
Anasimama na Lissu Mahakamani pembeni kuna Prof.Safari au kuna kitu gani kwa upande wa Chadema ? Na hii ndiyo watanzania watajua kwamba Chadema wako serious sasa .Komesha kuropoka bila ushahidi .Marando am sure hatakosa hapa kuongoza kuutafuta ukweli .

Nape atakoma kucheza na watu waliomzidi maarifa.
 
Mimi nadhani nanza kuwaelewa hawa CHADEMA kazi yao kubwa ni kuset precedency ili ukweli ujulikane kutokana na matukio mbalimbali yanayowafika,wanaiambia jamii na dunia kwa mfumo wa kitaalamu sana, nadhani wana political strategist wazuri mno ,katika mambo mengi huwa wanawabana CCM na serikali wao bila kujijua kwa ujinga wao wamejikuta mara nyingi wamenasa na kuleta athari kubwa kwa mfano

Mara nyingi Chadema walikuwa wanalalamika kwamba wanaonewa na mikutano yao huwa inakatazwa na fujo huwa zinaanzishwa na Polisi bila sababu za msingi sasa kupiga mabomu ofisi za chadema nyololo ,kifo cha kikatili cha Mwangosi kimethibitisha hayo tumekubushwa sasa kuwa IGP Mwema hakupaswa hata kuwa kwenye nafasi hiyo ya IGP kwani alishapata kashfa yakuuwa wananchi kule Mbarali wakiwa mikononi mwa Polisi

Swala la Nape nadhani kisiasa lingeweza kuachwa lakini katika kesi kuendeshwa na ushahidi kuanza kutolewa siajabu wao CDM ,wanajua jinsi CCM ilivyo na fedha zinazotoka kwenye vyanzo mbalimbali yakiwemo makampuni makubwa yaliyopo nchini na unaweza kuwekwa wazi duh

Hawa CDM ni handle with care
 
Kutokana na vyanzo vyangu vilivyopo Mahakama kuu ya Tanzania Leo Nape amefunguliwa kesi ya madai na imepewa namba 186 ya mwaka 2012.

Kesi hii ni kuhusiana na madai ya nnape kuwa CDM wana pokea pesa kutoka nje ya nchi.

Tuendelee kufuatilia


Updates.

Inaitwa civil case no.186 of 2012 ,board of registered trustees of chadema ... Plaintiff versus nnape nnauye defendant .


GOOOD.....! CDM ni Maneno kidogo na Matendo mengi, strategic actions...!

Huyo Nape 'The VUVU' hakawiii kuibuka na kuanza kubwabwaja kuwa naye atapeleka kesi ya kwake kuwa 'wamesingiziwa kuingiza Silaha na kuwafunza makanjanja wao', ...which is true, na wanajua watashindwa if they dare to!

GO ON CDM.. This war for JUSTICE must be WON smoothly, iwe angani, ardhini, majini na hasa ktk akili na fikra za watanzania wote!

M4C....the turning-point for all Tanzanians!
 
This is part of WORKING SMART I was talking about, CCM wanabwabwaja, CDM wanaCASH. Mwisho CCM wataishiwa pesa, CDM mko mbali.
 
Back
Top Bottom