Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,300
Ni wakati wa Chadema kuumbuka. Nape atakuja na ushahidi wa kutosha.
Kutetea ujinga ni kazi sana! kwa akili yako finyu unadhani waliompeleka mahakamani wamekurupuka!
Ni wakati wa Chadema kuumbuka. Nape atakuja na ushahidi wa kutosha.
Hii kesi inaweza kuwa ngumu sana kwa upande wa Nape kwa sababu kwenye madai yake (yeye Nape) ni kwamba kuna nchi za nje zinazotoa fedha kwa CHADEMA kwa makuliano ya kuuziwa/kupewa rasilimali za Tanzania. Hapa issue sio kupekea pesa, ila atatakiwa athibitishe beyond reasonable doubt kuwa kuna nchi zimetoa fedha kwa masharti wa kupewa rasilimali za Tanzania. Sasa itakuwaje kama hizo nchi zitakataa?
Kwa hiyo watakuja na za kugushi mahakamani?
Ni wakati wa Chadema kuumbuka. Nape atakuja na ushahidi wa kutosha.
ukisha ona unashindwa lazima utafute maneno mengi, CCM Hata siku moja haikurupuki, unawaona walioko CCM Lakini? CDM kuna nani? labda ZITTO TU ALIYEWAAMBIA CDM WENZAKE HAKUNA MSOMI KAMA YEYE, AND ITS TRUE, Ztto akitoka cdm kwisha,, Mwambie lema alienda UINGEREZA KUKAGUA MAHELKOPTA ALIKUWA ANAKUJUA, AU NDIO ANAJINADI AJIJENGE YEYE PAMOJA NA MBOWE NA FAMILIA ZAO? HUU NI MOTO WA KIFUU, WATANZANIA WANA AKILI SANA ,,,ENDELEENI KUANDAMANA WAKATI WENGINE WAKO KWENYE UTENDAJI!
Kiswahili ni kizuri tu, naamini unakielewa vizuri. Kitumie tafadhali, ulichoandika hapa hakieleweki.
Kaka Chadema hakuna hilo.Wakigushi ina maana balozi ziko hapa hapa watu watafika huko kuutaka ukweli yaani Nape hakuwaza wakati ana boyongokakama hazipo kweli hizo data ndio watagushi, what I mean ni kwamba kwa hizo data hawatozikosa by any means. ukiona wamezikosa basi ujue interijensia imeenda likizo
Hapa issue sio kupeka pesa, ila atatakiwa athibitishe beyond reasonable doubt kuwa kuna nchi zimetoa fedha kwa masharti ya kupewa rasilimali za Tanzania. Sasa itakuwaje kama hizo nchi zitakataa?
CCM kwa kugushi achana nao, mbona hizo data watakuja nazo.
CDM wamempeleka dogo Nape mahakamani wkt CDM hawana imani na mahakama sasa sijui itakuaje.
ushahidi upo wazi mchana peupeee nakumbuka hata slaa aliposhitakiwa kuchukua mke wa mtu alijitetea mahakamani kuwa hakujua kama ni mke wa mtuKutokana na vyanzo vyangu vilivyopo Mahakama kuu ya Tanzania Leo Nape amefunguliwa kesi ya madai na imepewa namba 186 ya mwaka 2012.
Kesi hii ni kuhusiana na madai ya nnape kuwa CDM wana pokea pesa kutoka nje ya nchi.
Tuendelee kufuatilia
Updates.
Inaitwa civil case no.186 of 2012 ,board of registered trustees of chadema ... Plaintiff versus nnape nnauye defendant .
Anasimama na Lissu Mahakamani pembeni kuna Prof.Safari au kuna kitu gani kwa upande wa Chadema ? Na hii ndiyo watanzania watajua kwamba Chadema wako serious sasa .Komesha kuropoka bila ushahidi .Marando am sure hatakosa hapa kuongoza kuutafuta ukweli .
Kutokana na vyanzo vyangu vilivyopo Mahakama kuu ya Tanzania Leo Nape amefunguliwa kesi ya madai na imepewa namba 186 ya mwaka 2012.
Kesi hii ni kuhusiana na madai ya nnape kuwa CDM wana pokea pesa kutoka nje ya nchi.
Tuendelee kufuatilia
Updates.
Inaitwa civil case no.186 of 2012 ,board of registered trustees of chadema ... Plaintiff versus nnape nnauye defendant .