Mkuu ondoa wasiwasi, haijalishi kama jaji atambeba ama la, kwa kuwa kesi zinaendeshwa hadharani na watanzania siku hizi tunaakili ya kupima ukweli, tutapima ushahidi na kutoa hukumu yetu ya kijamii hapa JF.
na isitoshe akishataja hayo mataifa lazima yasibitishe na asipoangalia hayo mataifa yanaweza kuja juu kwa kuchafuliwa kwa kutaka kuja kuunyoya uchumi wa tanzani km alivyosema nape kuwa hizo nchi zinafanya hivyo kwa sababu tanzania imegundua gesi na madini mengine