Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Ndio maana hata maandamano yao yalidorola.
Wananchi wanahitaji mtu kama Paul Makonda ambaye anawasikiliza na kuwapa comfort kwa madhira wanayoyapata.
Sasa wakimponda kwa wananchi ndio wanazidi kupotea.
Mbaya zaidi hata bil 2.7 za ruzuku anatafuna Mbowe na jamaa zake akina Pambalu.
Wananchi wanahitaji mtu kama Paul Makonda ambaye anawasikiliza na kuwapa comfort kwa madhira wanayoyapata.
Sasa wakimponda kwa wananchi ndio wanazidi kupotea.
Mbaya zaidi hata bil 2.7 za ruzuku anatafuna Mbowe na jamaa zake akina Pambalu.