Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
Nzi wa chooni!!!
(null)
(null)
Hii ndo shida ya kudandia gari kwa mbele, "LOWASA sio FISADI, ila CCM yenyewe" what is CCM? People? who is Lowasa? People? ulitakiwa kusema LOWASA sio FISADI peke yake, LOWASA NI FISADI papa, sio tu FISADI, hapana, ni FISADI wa viwango vya juu ....
Mimi ni mwanachama HAI wa CDM but hua najiuliza KOSA LAKE huyu bwana mkubwa "Specifically" ni nini hasa??
Naomba kujuzwa please!!
huyu mwenyekt namashaka nae kasha lambishwa ela za kifsad au ni rafk wa shitambalala nn? aoni ata kumkalbsha lowasa ata kuwa mwanachama wakawaida ni shda koz lowasa na ufsad wake ndo umempa umaarufu dr.slaa ivyo kumkarbsha lowasa kwa chama ni umaarufu wa dr. Kushuka chn. pili kuwapa ccm oja ya kuogea majukuani. Tatu uyu lowasa ndo nan?? Nne uyu jamaa kaujumu ata viwanda vye2 ukiachlia ufsad wa richmod. Tano c 2napenda cdm ili ije ishke madaraka na kuwa weka wote roc up walio2fkisha apa 2lipo akiwemo lowasa koz dr. slaa anaushaid wa ufsad wake
Chadema ikimpokea EL itakuwa imejimaliza yenyewe. Katika hili wanahitaji hekima ya hali ya juu.
si kweli la msingi ni mtu kukiri makosa na kusamehewa,akikiri kosa lazima asamehewe,hivi ni nani ambaye hajawahi kufanya kosa?tuache kuhukumu tumpe mtu nafasi apate pa kutubu dhambi zakeCDM ikimpokea EL itapoteza credibility.
Lowasa siyo fisadi bali ccm yenyewe. Kama umesiliza michango ya wabunge jana utaligundua hilo. Kama angekuw fisadi nchi ingekuwa na maendeleo mskubwa baada ya kuondoka kwake madarakani. Kinyume chake ni kama vile kuondoka kwake kwenye u PM kumewapa nafuu akina Mkulo na wenzake.
...Sidhani kama CHADEMA watakuwa tayari kufanya makosa makubwa kiasi hicho ya kumpokea fisadi EL. CCM ndio inakufa taratibu wengi wao wanatafuta pakutokea kabla magamba hakijazikwa rasmi.
Hakuna ubaya kuwapokea watakaotoka magamba lakini mafisadi wote ndani ya magamba na wala/watoa rushwa kamwe wasiruhusiwe ndani ya CHADEMA.