RAYMOND TULI
Member
- Jan 19, 2013
- 11
- 7
Siku ya kesho Jumamosi Tanzania yote itahamishia macho na masikio hapa Mwanza ambapo Dr Slaa ataongoza timu ya Tundu Lissu,Suzan Lyimo na John Heche ktk kongamano pamoja na mkutano ktk mahafali ya kuwaaga makamanda wa CHADEMA SAUT.
Watoa mada ni wote tajwa hapo juu, mada ni pamoja na elimu yetu na hatma ya katiba mpya hivyo karibuni watu wote!
Watoa mada ni wote tajwa hapo juu, mada ni pamoja na elimu yetu na hatma ya katiba mpya hivyo karibuni watu wote!