1. Mbeya Mwanza kumeonyesha - Umoja wetu utamng'oa nyoka pangoni:
2. Kwamba Slaa anasema:
_______
"Katiba iliyopo ilitengenezwa na watu wasiozidi 20 Kwa siku chache sana. Haipo sababu yoyote leo Samia na serikali yake kutuambia muda hautoshi.
Tunataka kumwambia Samia katiba ni mali ya watanzania.
Samia yuko pale kama rais ni kwa mujibu wa katiba; lazima aiheshimu na kuitii katiba ya jamhuri ya Mwungano wa Tanzania.
Samia ni mtumishi wetu; ni mwajiriwa wetu. Haijawahi kutokea duniani mwajiriwa akaandika mkataba wa ajira yake. Ni lazima watanzania tumpe sisi barua ya ajira."
Anamaliza Slaa kwa sababu ya muda, kwa kusema:
"Tuungane na Chadema kwa nguvu zote na tutaungana pamoja na asasi na wale wote wanaopigania kupunguza gharama za maisha, na wale wote wanaopambana tupate katiba mpya ......
People's ... !!!
----------
3. Maneno mwiba kabisa toka kwake Dr. Slaa kwa ule upande mwingine na chawa wao.
4. Kwa hakika tunataka katiba mpya sasa!
2. Kwamba Slaa anasema:
_______
"Katiba iliyopo ilitengenezwa na watu wasiozidi 20 Kwa siku chache sana. Haipo sababu yoyote leo Samia na serikali yake kutuambia muda hautoshi.
Tunataka kumwambia Samia katiba ni mali ya watanzania.
Samia yuko pale kama rais ni kwa mujibu wa katiba; lazima aiheshimu na kuitii katiba ya jamhuri ya Mwungano wa Tanzania.
Samia ni mtumishi wetu; ni mwajiriwa wetu. Haijawahi kutokea duniani mwajiriwa akaandika mkataba wa ajira yake. Ni lazima watanzania tumpe sisi barua ya ajira."
Anamaliza Slaa kwa sababu ya muda, kwa kusema:
"Tuungane na Chadema kwa nguvu zote na tutaungana pamoja na asasi na wale wote wanaopigania kupunguza gharama za maisha, na wale wote wanaopambana tupate katiba mpya ......
People's ... !!!
----------
3. Maneno mwiba kabisa toka kwake Dr. Slaa kwa ule upande mwingine na chawa wao.
4. Kwa hakika tunataka katiba mpya sasa!