Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,501
- 93,056
Nape alikuwa hajawapa Allowance za kununulia Internet bundle,......Mkuu sijakusoma siku mbili hizi.Kulikoni?
Nape alikuwa hajawapa Allowance za kununulia Internet bundle,......Mkuu sijakusoma siku mbili hizi.Kulikoni?
hivi nyie mna akili kweli sasa waingereza wawe na passport mbili bila wao kuchukua hatua walikuwa wanawasubiri nyinyi CDM siyo??!!
Ni kwa nini nakala hizi hazikuwa attached kwenye rufaa ya CHADEMA kwenda tume ya uchaguzi ili uteuzi wake utenguliwe? mimi habari za namna hii huwa naziona ni za kutupotezea muda wetu wa kujadili vitu vya msingi.
Mkuu kwa hiyo Uingereza watashirikiana na Chadema katika sakata la urai wa Siyoi?
Hivi unajua sheria za Uingereza katika matumizi ya pasipoti kwa wageni? Au umeamua kujifurahisha tu?