Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,569
Tanda ni wapi, DSM chadema wanakampeni kila siku (muulize Mnyika).....Lindi, Mtwara na Zanzibar nako kutafikiwa tu karibuni. Kila kitu ni kinaenda kwa ratiba ya kampeni.
I mean Tanga
Tanda ni wapi, DSM chadema wanakampeni kila siku (muulize Mnyika).....Lindi, Mtwara na Zanzibar nako kutafikiwa tu karibuni. Kila kitu ni kinaenda kwa ratiba ya kampeni.
Mwafrika, asante, nimekuelewa na kukukubali, thanks for Zitto pix update.Mkuu Pasco, conventional wisdom inakubaliana nawewe kwa kila kitu ulichoandika hapo juu. Hata mimi nakubaliana nawe. Ingekuwa rahisi kukaa kimya na kutosema chochote, kwangu mimi ingekuwa unafiki. Debate kali sana ilifanyika live hapa jamvini kati yangu na Zitto (au wale wanaomuunga Zitto) hivi karibuni.
Kumbuka kuwa hizi debates hazikuanza leo, zimekuwepo toka kipindi cha buzwagi na zitaendelea kuwepo. Hata leo hii chama cha Obama US bado kuna internal debates za kati ya liberal na conservative democrats.
Haya ni mambo ya kawaida sana kwenye vyama vikubwa. Chadema ni chama kikubwa na tofauti za kisera na mwelekeo zipo na zitaendelea kuwepo. Vyama ni mkusanyiko wa watu na watu wanafikiria tofauti.
Kuacha hayo yaliyopita, inawezekana matumizi ya neno kufuatilia yamekukwaza. Nilitafsiri tu toka kwa sentensi ya kingereza (I have been following). Bahati mbaya, wengine wetu ambao bado tuko shuleni, inabidi tufikirie kwa kingereza all the time ili kufanya home works. Hilo neno kufuatilia halikuwa na maana nyingine mkuu Pasco.
All is well, we enjoy picha ....asante
baada ya uchaguzi hiki chama kinasambaratika
wauwaji wa mwanzo ni mwafrika wa kike na vijana wenziwe
wajuvi sana hawa na hicho ndio kifo chao kilipo
Name calling! MOD hebu mpeni kubwa huyu vuvuzela!
Name calling! MOD hebu mpeni kubwa huyu vuvuzela!
Mwafrika, asante, nimekuelewa na kukukubali, thanks for Zitto pix update.