Nimempenda huyo kijana hapo kushoto, anamtizama Zitto kwa jicho fulani la kufurahisha.
Huyo mama hapo anamwaga sera hadi binti nyuma yake ameelimika kwa furaha (Steve Dii upooo):
Hiyo sehemu inaitwa Mbongwe sehemu za Bukombe eneo zuri sana! Hizi issue za namna hii Steve Dii huzima bange zake
Mwafrika umenifurahisha sana kwa uamuzi wako wa "kupumzisha" tofauti wakati huu wa lala salama, keep it up!
Akina dada/mama wazuri na wanaopenda Tanzania kama dada yetu huyu (Ms Ruhwanya) walikuwepo:
Ahsante Mwafrika,
yaani ndiyo nachokupendea, ukiamua kufuatilia issue, hubakizi kitu. Wewe ni kiboko, ni bonge ya mwanamageuzi.
Big up, nakutakia masomo mema pia..
Chadema kweli wanameremeta.
Watu wamefurika, wengi mno kama mawingu
I like this,nafurahi zaidi kwani nilikuwepo musoma,na sasa niko tarime naomba afike mapema huku