Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,554
- 1,382
Ama kweli Watanzania wameichoka CCM. Natabiri kwamba akienda Mwinyi au Mkapa au Sumaye huko alikopita Zitto hawatajitokeza hata nusu ya hao wa Zitto. Tena huenda ikatokea zomea zomea!
Vote offf Sisi em,Ama kweli Watanzania wameichoka CCM. Natabiri kwamba akienda Mwinyi au Mkapa au Sumaye huko alikopita Zitto hawatajitokeza hata nusu ya hao wa Zitto. Tena huenda ikatokea zomea zomea!
baada ya uchaguzi hiki chama kinasambaratika
Kwanza kabisa, niweke wazi kuwa mimi na Zitto tumekuwa na tofauti zetu kisera for a while hapa JF. For a while there was some kinda of ....(...) going on between us
Pamoja na kuona yote haya, ukiwaambia REDET wafanye utafiti ni Chama gani kina mvuto kwa watanzania kwa sasa, watasema Utafiti unaonyesha CCM ni 88% Chadema 6% CUF 4% wengine 2%. Bila mizengwe 2010 Tanzania mpya itazaliwa. Eeh MOLA sikia kilio chetu.
Sera zipi? Chuki binafsi na usisi na uwao ndio sera zako?