Elections 2010 CHADEMA wafunika kanda ya magharibi: Kampeni za Zitto katika picha usipime

Mwafrika

JF-Expert Member
Nov 20, 2006
5,490
226
Kwanza kabisa, niweke wazi kuwa mimi na Zitto tumekuwa na tofauti zetu kisera for a while hapa JF. For a while there was some kinda of ....(...) going on between us. Kikao cha kamati kuu cha kumpitisha Slaa kuwa mgombea uraisi wa chadema kilirejesha hali ya umoja ndani ya chadema ambayo ilikuwa imeanza kulegalega kutokana na tofauti za kisera na mtizamo miongoni mwa wanachama na viongozi.

Nimekuwa namfuatilia Zitto for a while since then, kama umesoma mabandiko yangu hapa, niliamua kukaa kimya kabla ya kujadili chochote kinachomhusu Zitto kabwe. All I can say for now, Zitto Kabwe anajua sana game hii ya siasa. The guy is doing great kwenye kampeni. CHADEMA walifanya la maana sana kuigawa Tanzania katika makundi ya kampeni. Kazi anayoifanya Ndesamburo na wenzake Kaskazini inafurahisha sana. Kazi anayoifanya Zitto magharibi na Ziwa ni ya kutia moyo sana.

hii thread nitaweka picha za kampeni ya Zitto .. me likes it
 
Kwanza kabisa, niweke wazi kuwa mimi na Zitto tumekuwa na tofauti zetu kisera for a while hapa JF. For a while there was some kinda of ....(...) going on between us. Kikao cha kamati kuu cha kumpitisha Slaa kuwa mgombea uraisi wa chadema kilirejesha hali ya umoja ndani ya chadema ambayo ilikuwa imeanza kulegalega kutokana na tofauti za kisera na mtizamo miongoni mwa wanachama na viongozi.

Nimekuwa namfuatilia Zitto for a while since then, kama umesoma mabandiko yangu hapa, niliamua kukaa kimya kabla ya kujadili chochote kinachomhusu Zitto kabwe. All I can say for now, Zitto Kabwe anajua sana game hii ya siasa. The guy is doing great kwenye kampeni. CHADEMA walifanya la maana sana kuigawa Tanzania katika makundi ya kampeni. Kazi anayoifanya Ndesamburo na wenzake Kaskazini inafurahisha sana. Kazi anayoifanya Zitto magharibi na Ziwa ni ya kutia moyo sana.

hii thread nitaweka picha za kampeni ya Zitto .. me likes it


Anafunika ile mbaya!

Mcheki hapa Zitto na Demokrasia
 
Kwanza tuanze na comedy, hizo speaker hapo chini zimenichekesha sana. CHADEMA haina pesa kama za ccm ili kuweka the best sound system in the game....BUT..... message inawafikia wananchi kwa hali ya kawaida kabisaaa:

 
Kwanza kabisa, niweke wazi kuwa mimi na Zitto tumekuwa na tofauti zetu kisera for a while hapa JF. For a while there was some kinda of ....(...) going on between us. Kikao cha kamati kuu cha kumpitisha Slaa kuwa mgombea uraisi wa chadema kilirejesha hali ya umoja ndani ya chadema ambayo ilikuwa imeanza kulegalega kutokana na tofauti za kisera na mtizamo miongoni mwa wanachama na viongozi.

Nimekuwa namfuatilia Zitto for a while since then, kama umesoma mabandiko yangu hapa, niliamua kukaa kimya kabla ya kujadili chochote kinachomhusu Zitto kabwe. All I can say for now, Zitto Kabwe anajua sana game hii ya siasa. The guy is doing great kwenye kampeni. CHADEMA walifanya la maana sana kuigawa Tanzania katika makundi ya kampeni. Kazi anayoifanya Ndesamburo na wenzake Kaskazini inafurahisha sana. Kazi anayoifanya Zitto magharibi na Ziwa ni ya kutia moyo sana.

hii thread nitaweka picha za kampeni ya Zitto .. me likes it

Who lets the Dogs Out...wooooo...wooooooo..wooooooooh
 
CAPTION nitaweka kwa kadri nionavyo (hizi caption ni maneno yangu na sio ya Zitto).

http://go2.wordpress.com/?id=725X13...611.jpg&sref=http://zittokabwe.wordpress.com/

Zitto -- hivi ccm wanapotumia bilioni 58 kwenye kampeni tu, hizi pesa zingejenga hospitali ngapi?
Wananchi - hospitali milioni moja na kumi ...... uwiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Vijana --- Zittooooo, wape ccm vidonge vyao
Zitto --- hawa ccm hawanijui nini, wamuulize Karamagi, gonga basi:

 
wakati wa kuikomboa nchi yetu toka kwa mafisadi wa ccm ni sasa:

 
Nisichoelewa kwa Chadema ni kuwa mikoa ya Pwani hawahitaji kura - Tanga, Pwani, DSM. Lindi na Mtwara bila kusahau Zanzibar. Naona wanaegemea zaidi Kanda ya ziwa, kanda ya kati, kusini nyanda za juu na kaskazini.
 
Nisichoelewa kwa Chadema ni kuwa mikoa ya Pwani hawahitaji kura - Tanda, Pwani, DSM. Lindi na Mtwara bila kusahau Zanzibar. Naona wanaegemea zaidi Kanda ya ziwa, kanda, kusini nyanda za juu na kaskazini.

Tanda ni wapi, DSM chadema wanakampeni kila siku (muulize Mnyika).....Lindi, Mtwara na Zanzibar nako kutafikiwa tu karibuni. Kila kitu ni kinaenda kwa ratiba ya kampeni.
 
Kwanza kabisa, niweke wazi kuwa mimi na Zitto tumekuwa na tofauti zetu kisera for a while hapa JF. For a while there was some kinda of ....(...) going on between us. Kikao cha kamati kuu cha kumpitisha Slaa kuwa mgombea uraisi wa chadema kilirejesha hali ya umoja ndani ya chadema ambayo ilikuwa imeanza kulegalega kutokana na tofauti za kisera na mtizamo miongoni mwa wanachama na viongozi.

Nimekuwa namfuatilia Zitto for a while since then, kama umesoma mabandiko yangu hapa, niliamua kukaa kimya kabla ya kujadili chochote kinachomhusu Zitto kabwe. All I can say for now, Zitto Kabwe anajua sana game hii ya siasa. The guy is doing great kwenye kampeni. CHADEMA walifanya la maana sana kuigawa Tanzania katika makundi ya kampeni. Kazi anayoifanya Ndesamburo na wenzake Kaskazini inafurahisha sana. Kazi anayoifanya Zitto magharibi na Ziwa ni ya kutia moyo sana.

hii thread nitaweka picha za kampeni ya Zitto .. me likes it

Ndiyo maana CCM wanaweweseka. Mwafrika ninapendekeza kichwa kipadilike kiwe, ''Chadema wafunika kanda ya magharibi: Kampeni za Zitto katika picha usipime''
 
Ndiyo maana CCM wanaweweseka. Mwafrika ninapendekeza kichwa kipadilike kiwe, ''Chadema wafunika kanda ya magharibi: Kampeni za Zitto katika picha usipime''

haya mkuu, nitawauliza mods wabadilishe title, me likes pendekezo lako.
 
haya mkuu, nitawauliza mods wabadilishe title, me likes pendekezo lako.

Sawa Mwafrika, yaani huo umati wa watu kwenye picha na video mpaka mwili unasisimka. Tena watu waliojipeleka wenyewe bila kusombwa. We acha tu, yaani hadi raha.
 
Kwanza kabisa, niweke wazi kuwa mimi na Zitto tumekuwa na tofauti zetu kisera for a while hapa JF. For a while there was some kinda of ....(...) going on between us. Kikao cha kamati kuu cha kumpitisha Slaa kuwa mgombea uraisi wa chadema kilirejesha hali ya umoja ndani ya chadema ambayo ilikuwa imeanza kulegalega kutokana na tofauti za kisera na mtizamo miongoni mwa wanachama na viongozi.

Nimekuwa namfuatilia Zitto for a while since then, kama umesoma mabandiko yangu hapa, niliamua kukaa kimya kabla ya kujadili chochote kinachomhusu Zitto kabwe. All I can say for now, Zitto Kabwe anajua sana game hii ya siasa. The guy is doing great kwenye kampeni. CHADEMA walifanya la maana sana kuigawa Tanzania katika makundi ya kampeni. Kazi anayoifanya Ndesamburo na wenzake Kaskazini inafurahisha sana. Kazi anayoifanya Zitto magharibi na Ziwa ni ya kutia moyo sana.

hii thread nitaweka picha za kampeni ya Zitto .. me likes it
Mwafrika, kwanza asante kwa kurudisha moyo. Pili hayo kwenye red, ulikuwa huna sababu ya kuyaandika kwa vile ni mambo yenu na mengine ni mambo ya ndani. Kwa kuyaandika, ina maana bado unadukuduku fulani la
  1. Kutueleza wewe na Zitto mmekuwa na tofauti zenu kisera for a while hapa JF. Kwa vile ni zenu, sasa unataka wanabodi au tukuulize ni tofauti gani ili nazo uzilete au what was the purpose kutuletea habari za hizo tofauti zenu with 14 days to go!.
  2. Kwamba kumbe Chadema hakuna umoja mpaka Kikao cha kamati kuu cha kumpitisha Slaa kuwa mgombea uraisi wa chadema kilirejesha hali ya umoja ndani ya chadema ambayo ilikuwa imeanza kulegalega kutokana na tofauti za kisera na mtizamo miongoni mwa wanachama na viongozi. Kwa hiyo sasa umoja ndio umerejea hivyo nawe ndio umeacha kukaa kimya?!.
  3. Kumbe umekuwa unamfuatilia Zitto for a while since then, kama tumesoma mabandiko yako hapa na uliamua kukaa kimya kabla ya kujadili chochote kinachomhusu Zitto Kabwe. Who the hell anafuatilia nani anamfuatilia nani humu?. Ulitaka kutueleza ulisusa sasa ndio umemaliza kisuso?.
Anyway Mwafrika, usijibu hayo ukazidi kumwaga kuku kwenye mtama wengi, kamayaliisha ndani kwa ndani, hukuwa na sababu ya kuyaleta humu, wewe ungeanzia tuu hapo kwenye blue.
Asante.
Pasco
 
Since chadema have a common enemy then fighting from different angles with different people is ideal.
Ni counter strategy iyo ,keep it up
 
Mwafrika, kwanza asante kwa kurudisha moyo. Pili hayo kwenye red, ulikuwa huna sababu ya kuyaandika kwa vile ni mambo yenu na mengine ni mambo ya ndani. Kwa kuyaandika, ina maana bado unadukuduku fulani la
  1. Kutueleza wewe na Zitto mmekuwa na tofauti zenu kisera for a while hapa JF. Kwa vile ni zenu, sasa unataka wanabodi au tukuulize ni tofauti gani ili nazo uzilete au what was the purpose kutuletea habari za hizo tofauti zenu with 14 days to go!.
  2. Kwamba kumbe Chadema hakuna umoja mpaka Kikao cha kamati kuu cha kumpitisha Slaa kuwa mgombea uraisi wa chadema kilirejesha hali ya umoja ndani ya chadema ambayo ilikuwa imeanza kulegalega kutokana na tofauti za kisera na mtizamo miongoni mwa wanachama na viongozi. Kwa hiyo sasa umoja ndio umerejea hivyo nawe ndio umeacha kukaa kimya?!.
  3. Kumbe umekuwa unamfuatilia Zitto for a while since then, kama tumesoma mabandiko yako hapa na uliamua kukaa kimya kabla ya kujadili chochote kinachomhusu Zitto Kabwe. Who the hell anafuatilia nani anamfuatilia nani humu?. Ulitaka kutueleza ulisusa sasa ndio umemaliza kisuso?.
Anyway Mwafrika, usijibu hayo ukazidi kumwaga kuku kwenye mtama wengi, kamayaliisha ndani kwa ndani, hukuwa na sababu ya kuyaleta humu, wewe ungeanzia tuu hapo kwenye blue.
Asante.
Pasco

Mkuu Pasco, conventional wisdom inakubaliana nawewe kwa kila kitu ulichoandika hapo juu. Hata mimi nakubaliana nawe. Ingekuwa rahisi kukaa kimya na kutosema chochote, kwangu mimi ingekuwa unafiki. Debate kali sana ilifanyika live hapa jamvini kati yangu na Zitto (au wale wanaomuunga Zitto) hivi karibuni.

Kumbuka kuwa hizi debates hazikuanza leo, zimekuwepo toka kipindi cha buzwagi na zitaendelea kuwepo. Hata leo hii chama cha Obama US bado kuna internal debates za kati ya liberal na conservative democrats.

Haya ni mambo ya kawaida sana kwenye vyama vikubwa. Chadema ni chama kikubwa na tofauti za kisera na mwelekeo zipo na zitaendelea kuwepo. Vyama ni mkusanyiko wa watu na watu wanafikiria tofauti.

Kuacha hayo yaliyopita, inawezekana matumizi ya neno kufuatilia yamekukwaza. Nilitafsiri tu toka kwa sentensi ya kingereza (I have been following). Bahati mbaya, wengine wetu ambao bado tuko shuleni, inabidi tufikirie kwa kingereza all the time ili kufanya home works. Hilo neno kufuatilia halikuwa na maana nyingine mkuu Pasco.

All is well, we enjoy picha ....asante
 
Back
Top Bottom