Kwanza kabisa, niweke wazi kuwa mimi na Zitto tumekuwa na tofauti zetu kisera for a while hapa JF. For a while there was some kinda of ....(...) going on between us. Kikao cha kamati kuu cha kumpitisha Slaa kuwa mgombea uraisi wa chadema kilirejesha hali ya umoja ndani ya chadema ambayo ilikuwa imeanza kulegalega kutokana na tofauti za kisera na mtizamo miongoni mwa wanachama na viongozi.
Nimekuwa namfuatilia Zitto for a while since then, kama umesoma mabandiko yangu hapa, niliamua kukaa kimya kabla ya kujadili chochote kinachomhusu Zitto kabwe. All I can say for now, Zitto Kabwe anajua sana game hii ya siasa. The guy is doing great kwenye kampeni. CHADEMA walifanya la maana sana kuigawa Tanzania katika makundi ya kampeni. Kazi anayoifanya Ndesamburo na wenzake Kaskazini inafurahisha sana. Kazi anayoifanya Zitto magharibi na Ziwa ni ya kutia moyo sana.
hii thread nitaweka picha za kampeni ya Zitto .. me likes it
Nimekuwa namfuatilia Zitto for a while since then, kama umesoma mabandiko yangu hapa, niliamua kukaa kimya kabla ya kujadili chochote kinachomhusu Zitto kabwe. All I can say for now, Zitto Kabwe anajua sana game hii ya siasa. The guy is doing great kwenye kampeni. CHADEMA walifanya la maana sana kuigawa Tanzania katika makundi ya kampeni. Kazi anayoifanya Ndesamburo na wenzake Kaskazini inafurahisha sana. Kazi anayoifanya Zitto magharibi na Ziwa ni ya kutia moyo sana.
hii thread nitaweka picha za kampeni ya Zitto .. me likes it