kula kwa tindo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,330
- 323
Mkuu.. Angalia amejiunga lini? Bado ananuka MAZIWA..eti mfuasi wa kambarage,hakuwa wafuasi kondoo kama wewe
Mkuu.. Angalia amejiunga lini? Bado ananuka MAZIWA..eti mfuasi wa kambarage,hakuwa wafuasi kondoo kama wewe
chadema ;;;;;kupora wake za watu, kuvunja ndoa za watu na kutelekeza familia
ccm..........kudumu na ndoa ujana hadi uzeeni, kulea watoto na familia ktk maadili mema
chadema ;;;;;kupora wake za watu, kuvunja ndoa za watu na kutelekeza familia
ccm..........kudumu na ndoa ujana hadi uzeeni, kulea watoto na familia ktk maadili mema
Mkuu lengo la magamba hapa ni kututoa kwenye mada ya msingi na kutuingiza katika mipasho.Usikubali kutekwa maana naona na wewe huku ulikoanza kueleka siko.Kuwa makini unapojibu hoja za watu waliotumwa na baadae wanaenda kuchukua malipo yao.Mara nyingi hawatumii akili ya kawaida bali kuna force inayowasukuma..JK feki alimuoa Mama Mwanaasha akiwa bikra?
Makamba alifukuzwa Ualimu kwa Kumdunga mimba Mwanafunzi... Unalijua hilo?
mfuasi wa kambarage Sasa kama unadhani hizi ni point; kwa nini usiziweke kwenye post moja kinyume chake unaweka vipost kibao vinavyofanana halafu ndani hamna kitu? au lengo kuuharibu huu uzi?
hakuna sela ya chadema inayotekelezwa,kila mtu anajua sela za chadema ni majimbo udini na ukabila
mfuasi wa kambarage Sasa kama unadhani hizi ni point; kwa nini usiziweke kwenye post moja kinyume chake unaweka vipost kibao vinavyofanana halafu ndani hamna kitu? au lengo kuuharibu huu uzi?
hakuna sela ya chadema inayotekelezwa,kila mtu anajua sela za chadema ni majimbo udini na ukabila
chadema ---kulisha watu sumu
ccm ----- kukemea na kuumbua wanaolisha watu sumu
Aden Rage CDM?chadema .....kutishia vikongwe na walemavu kwa bastola
ccm ......kukemea wanaotishia vikongwe na walemavu kwa bastola
hakuna sela ya chadema inayotekelezwa,kila mtu anajua sela za chadema ni majimbo udini na ukabila
hakuna sela ya chadema inayotekelezwa,kila mtu anajua sela za chadema ni majimbo udini na ukabila