Chadema, vijiji vya Arumeru Mashariki bado tunawahitaji

MPAMBANAJI.COM

JF-Expert Member
Mar 2, 2011
712
331
Mie kama mdau mkubwa sana wa Chama kuna uwezekano mkubwa kwa CDM kuchukua Jimbo la Arumeru Mashariki na pia ni aibu kubwa sana kwa sie Wanachadema tukishindwa Uchaguzi huu.Lamsingi kwa muda uliobakia nawaomba mashambulizi ya sera yaelekezwE KWA WINGI maeneo ya vijijini ambapo wanakijiji wengi wanaonekana kuwanjiapanda haswa wazee ambao wameshaichoka CCM,hawa bado wanaiona CCM kama chama peeke mioyoni mwao.
Freeman Mbowe kama Mwenyekiti wa Chama ni vyema ukasaidiana na nguvu kazi yako maeneo ya kijijini tena kwa msisitizo wa kistaarabu kwa wazee wa kule.Mjini hatuna shida.
Nawasilisha
Kila la Kheri
 
makamanda hebu pelekeni nguvu huko kwan ndiko kwenye mtaji mkubwa na wakuaminika.Sina maana mjini na hasa vijana si mtaji bali wale wazee wa vijiji hakika ni luku ya ushindi hasa wakati huu na meru kwa ujumla wake.
 
Vijijini ni ngumu mkuu Chadema kukubalika wazee wa Kimeru na Kimasai hawataki kuongozwa na mtoto mdogo ni kuvunja mila na desturi zao. Labda mgejikita zaidi sehemu za mjini.
 
Umenena vema muda uliobaki wa lala salama ni wakati mwafaka wa kupeleka nguvu zote vijijini na kwenda kuhakikisha kura zinakuja kwa Nassari mjini mlishamaliza kazi kwa sasa please kambi ihamie vijijini
 
Vijijini ni ngumu mkuu Chadema kukubalika wazee wa Kimeru na Kimasai hawataki kuongozwa na mtoto mdogo ni kuvunja mila na desturi zao. Labda mgejikita zaidi sehemu za mjini.

Si kweli. Kwani wapiga kura ni wazee tu, au hata vijana wtapiga kura. Unaogopa kwani ccm inawarubuni na kuwadanganya wazee/watu wa vijijini na ndiko kura nyi za ccm zinakopatikana. Sehemu za mijini hakuna shida maana watu wamesha jua maovu ya ccm na hawadanganyiki tena, hiyo vita sasa tunavielekeza vijijini hata kama hutaki.
 
USHAURI WA BURE KWA CHADEMA KUHUSU VIJIJINi
Nyerere aungane na wazee kama slaa na wazee maarufu waliokuwa CCM zamani na kutengeneza timu ya uhakika
ya kuvamia vijiji hivyo na kuanza na kampeni za mtu kwa mtu mchana na jioni mnapiga mikutano na lugha inayotumiwa lazima iwe makini sana kwa maana hawa ni watu wanaoitaji kuwaondoa ganzi ambayo CCM imewapulizia kwa miaka 50 kwahiyo inabidi ganzi uitoe taratibu sana wengi wanaweza kuwa hawajui vyama vingi ni nini? km ambavyo wengi mnafahamu kuwa CCM ilipinga sana elimu ya uraia wakati wa kuingia mfumo wa vyama vingi na sababu yao kubwa ilikuwa ni kuwatowazindua watu kama hawa wajue kuwa kuna altenative zaidi ya CCM. mjikite zaidi kuwaelimisha namna gani maisha ya umasikini aliyonayo yamesababishwa na CCM na si kweli kwamba hospitalini hakuna dawa ni kwa sababu ya ukosefu wa fedha la hasha kuna sababu zake halafu na nyie mseme mnategemea nini kufanya tofauti na CCM.

MFANO WA APPROACH;
Muulize mwanakijiji mara ya mwisho alikwenda hospitalini lini? je alipata dawa ? na kwanini anafikiria hakupata dawa?
offcourse majibu yake yatakuwa ni zile talking point za ccm kuwa seriakli haina pesa za kuweka dawa, kwahiyo wewe
uanzie hapo kuwa tatizo siyo pesa na kutoa tangible examples za kumuinga kichwani na kumueleza nyie mkiingia mtafanya nini tofauti na wao.
 
Nina hakika ujumbe utafika na kesho tutakuwa nao kwenye halambee tutawaambia kama ujumbe wako uliupata....
 
Vijijini ni ngumu mkuu Chadema kukubalika wazee wa Kimeru na Kimasai hawataki kuongozwa na mtoto mdogo ni kuvunja mila na desturi zao. Labda mgejikita zaidi sehemu za mjini.
Tumea akili yako kufikkili na siyo makalio hivi maswa magaribi/mashariki ni mjini, vipi zitto anatoka Kigoma mjini, Hai nako ni mjini au kikwenu mjini ni nini?

CHADEMA INAKUBALIKA MJINI NA VIJIJINI tatizo lililoko ni kwamba vijijini wengi hawajui kulinda kura zao tofauti na mjini
 
Chama Makini kwa Watanzania wake!


Inakubalika Mjini na Vijijini!

PAMOJA DAIMA!
Wanasema eti chadema haikubaliki vijijini kitu ambacho siyo kweli tuna wabunge wengi tu wanao toka vijijini mifano nimetoa hapo juu hata karatu siyo mjini na kuna yule dogo nae si anatoka vijini.....
 
crashwise
please naomba unipitishie ujumbe wangu huo na pia cdm lazima tutumie muda mwingi vijijini kwani ndiko kwenye kikwazo rejea Igunga na Busanda . ni vijinini tu please there is no need ya kupoteza muda mijini cha msingi ni kuakikisha mijini mnabakiza timu yenu ya kawaida. vijijini ndio pa kukaza buti na la miwsho jaribuni kuona kuna uwezekano wa kupata watu kutoka bahadhi ya vyuo vikuu wa kujitolea kukusanya exit poll kwenye vituo vya vijijini ili kufanya research kujua kwanini watu wanaendelea kupigia kura CCM vijijini najua tuna hisia zetu lakini kuna haja ya ku gather data from real people.
 
vijijini ni ngumu mkuu chadema kukubalika wazee wa kimeru na kimasai hawataki kuongozwa na mtoto mdogo ni kuvunja mila na desturi zao. Labda mgejikita zaidi sehemu za mjini.
wewe acha mawazo mgando.nawaombeni chadema muende kwa nguvu na mbinu zote huko maeneo ya vijijini kwani watu wa vijijini hawana elimu ya kutosha kufanya maamuzi kwani ccm wanatumia sera chafu za kuwadanganya wasiichague chadema kitu ambacho ni uongo wa kutupwa!!!!!!!!.cdm nendeni vijijini kwan kuna mtaji mkubwa sana wa kura.go on chadema tumechoshwa na magamba yanayosema ajira zipo wakati tunataabika kitaaa.go on cahdema,kitaeleweka tu
 
Vijijini ni ngumu mkuu Chadema kukubalika wazee wa Kimeru na Kimasai hawataki kuongozwa na mtoto mdogo ni kuvunja mila na desturi zao. Labda mgejikita zaidi sehemu za mjini.
Hili gamba nalo kwa kudandia thread za CDM halijambo
 
rafiki mpendwa Wameru na Wamasai hawjamkataa kijana yeyote wota ni vijana wao wote ni watoto SIOI NA JOSHUA wazee kazi iliyopo kwenu mtumeni kijana ,dogo kwani ndiye mwenye kasi kubwa hata kama kuna jambo la ghafla huwa m,wepesi kukabiliana nalo sio kwamba wazee hawawezi wanaweze sana ila warushauri palemambo yanapokwenda ndivyo sivyo!
Hivyo NASARII anatufaa watu wa Arm Mash.
Tuacheni tu,mpate NASARI wetu.
NGUVU YA HOJA NA SIO HOJA YA NGUVU
 
USHAURI WA BURE KWA CHADEMA KUHUSU VIJIJINi
Nyerere aungane na wazee kama slaa na wazee maarufu waliokuwa CCM zamani na kutengeneza timu ya uhakika
ya kuvamia vijiji hivyo na kuanza na kampeni za mtu kwa mtu mchana na jioni mnapiga mikutano na lugha inayotumiwa lazima iwe makini sana kwa maana hawa ni watu wanaoitaji kuwaondoa ganzi ambayo CCM imewapulizia kwa miaka 50 kwahiyo inabidi ganzi uitoe taratibu sana wengi wanaweza kuwa hawajui vyama vingi ni nini? km ambavyo wengi mnafahamu kuwa CCM ilipinga sana elimu ya uraia wakati wa kuingia mfumo wa vyama vingi na sababu yao kubwa ilikuwa ni kuwatowazindua watu kama hawa wajue kuwa kuna altenative zaidi ya CCM. mjikite zaidi kuwaelimisha namna gani maisha ya umasikini aliyonayo yamesababishwa na CCM na si kweli kwamba hospitalini hakuna dawa ni kwa sababu ya ukosefu wa fedha la hasha kuna sababu zake halafu na nyie mseme mnategemea nini kufanya tofauti na CCM.

MFANO WA APPROACH;
Muulize mwanakijiji mara ya mwisho alikwenda hospitalini lini? je alipata dawa ? na kwanini anafikiria hakupata dawa?
offcourse majibu yake yatakuwa ni zile talking point za ccm kuwa seriakli haina pesa za kuweka dawa, kwahiyo wewe
uanzie hapo kuwa tatizo siyo pesa na kutoa tangible examples za kumuinga kichwani na kumueleza nyie mkiingia mtafanya nini tofauti na wao.

Kaka hoja zako nzuri...tatizo muda uliobaki ni mfupi sana kwa kampeni za mtu kwa mtu na kueleza yote hayo
 
Back
Top Bottom