Wana JF
Niwakati ambao CHADEMA inapatamashambulizi kutoka kila kona na vyama vyote vinajaribu kila njia kibomoa CHADEMA, hii imedhihirisha muungano wa vyama vya upinzani kwa Tanzania hautafanya kazi. Natoa ushauri kuwa kwa kuwa wanaongeza mashambulizi sisi ambao sio viongozi ndani ya CHAMA tuwachie viongozi wajibu baadhi ya propaganda zao, sisi wengine tupeleke hasira zetu katika kuhakisha kila mtu aliyekaribu na sisi maofisini,majumbani, marafiki wa mtu mmoja mmoja na hata unayekutana naye njiani anaeleweshwa ubaya wa CCM na faida ya kutoa CCM madarakani, tufanye kazi kwa vitendo zaidi ili kuliokoa taifa hili ninauhakika mia kwa mia kila mmoja wetu akidhamiria kuafanya kweli tutashinda. Inchi hii ya Tanzania haitaenda popote bila kuifanya CCM kuwa chama cha upinzani. Angalia jinsi wanavyowaanda vijana wao wa UVCCM kuja kututawala na sio kutuongoza, tazama jeuri zao kwa sababu ya viburi vya baba zoa. Mwisho tuhakikishe yeyote anayekuja CHADEMA kutafuta maslahi binafsi kwa njia haramu alaaniwe kwa gharama yeyote ile.
Pamoja wenye uchungu na nchi yetu tunaweza.
Niwakati ambao CHADEMA inapatamashambulizi kutoka kila kona na vyama vyote vinajaribu kila njia kibomoa CHADEMA, hii imedhihirisha muungano wa vyama vya upinzani kwa Tanzania hautafanya kazi. Natoa ushauri kuwa kwa kuwa wanaongeza mashambulizi sisi ambao sio viongozi ndani ya CHAMA tuwachie viongozi wajibu baadhi ya propaganda zao, sisi wengine tupeleke hasira zetu katika kuhakisha kila mtu aliyekaribu na sisi maofisini,majumbani, marafiki wa mtu mmoja mmoja na hata unayekutana naye njiani anaeleweshwa ubaya wa CCM na faida ya kutoa CCM madarakani, tufanye kazi kwa vitendo zaidi ili kuliokoa taifa hili ninauhakika mia kwa mia kila mmoja wetu akidhamiria kuafanya kweli tutashinda. Inchi hii ya Tanzania haitaenda popote bila kuifanya CCM kuwa chama cha upinzani. Angalia jinsi wanavyowaanda vijana wao wa UVCCM kuja kututawala na sio kutuongoza, tazama jeuri zao kwa sababu ya viburi vya baba zoa. Mwisho tuhakikishe yeyote anayekuja CHADEMA kutafuta maslahi binafsi kwa njia haramu alaaniwe kwa gharama yeyote ile.
Pamoja wenye uchungu na nchi yetu tunaweza.