Monstgala
JF-Expert Member
- Aug 25, 2009
- 1,079
- 1,034
Haki ya mungu nazani mi nina matatizo!!! Ni hili la Vicent kuwa c mwanafamilia ya Nyerere....!! What's so special hapa hata humu JF kuwe na threads na posts nyiiiiiiiingi kuhusu issue kama hii?! Hivi ya issue ya msinbgi hapa ni kwanini Mkapa kasema Vicent si MWANAFAMILIA ya Nyerere au Mkapa amedanganya?! Kama issue ni kv amesema Vicent si mwanafamilia ya Nyerere; so what's so special hapo?! Awe mwanafamilia au siwe mwanafamilia, ni nini hapo cha kufanya media zote zione ndo jambo la kujadili kwa mapana na marefu?! Kama issue ni uongo wa Mkapa, hivi ni tangu lini Mkapa amepata kuwa mtu decent kiasi hicho hata ionekane ni big issue kwa yeye kudanganya? Kama leo hii mtu ataamua kuorodhesha mabovu ya Mkapa, hili la kusema Vicent si mwanafamilia ya Nyerere haliwezi kuwa hata katika kumi bora!
Vipi ulipata chochote from WAZZUB? au bado unasubiri?