CHADEMA started as a docile NGO.

Kwa uchokozi, nitamuuliza Irene Mark hili swali (yule mwandishi wa freemedia ama tanzania daima la mbowe) pamoja na yule hellen katabazi sijui !

Mzee unajua kitila mkumbo ni mtu makini sana humu ndani i have to acknowledge that na ndio maana naamini kasema kitu cha ukweli na anachokijua kwamba chadema was a docile NGO !

Kitila sio mtu wa kukurupuka anajua anachoongea, maneno hayo angesema Zitto au Mnyika wala nisingejisumbua kuanzisha thread.
Ila hii ni thread ya pili inayomuhusu Kitila moja kwa moja ambayo ameamua kuidiss.
Alipokuwa Rais wa DARUSO hakuwa na tabia ya kudiss mijadala, sijui nini kimemsibu.
Je Kitila ukirudi kugombea tena Ubunge mwaka 2010 utakuwa unakimbia mijadala, ukitaka kuongoza nchi ni lazima uwe tayari kujibu maswali ya wapiga kura.
 
Kitila sio mtu wa kukurupuka anajua anachoongea, maneno hayo angesema Zitto au Mnyika wala nisingejisumbua kuanzisha thread.
Ila hii ni thread ya pili inayomuhusu Kitila moja kwa moja ambayo ameamua kuidiss.
Alipokuwa Rais wa DARUSO hakuwa na tabia ya kudiss mijadala, sijui nini kimemsibu.
Je Kitila ukirudi kugombea tena Ubunge mwaka 2010 utakuwa unakimbia mijadala, ukitaka kuongoza nchi ni lazima uwe tayari kujibu maswali ya wapiga kura.


Huwa siingii kwenye mjadala hadi nielewe mjadala wenyewe. Mpaka hapo sijaelewa kabisa kinachojadiliwa! Hebu nieleweshe vizuri tuanze na tuendelee.
 
kadaMpinzani,

..achana na hayo mambo ya tit-for-tat kuna mambo mengine ya maana ya kuwabondea CHADEMA kuliko kuzungumzia familia ya Mbowe na Mtei.

..hivi umefuatilia pendekezo la Chadema kuanzisha majimbo Tanzania? I think you have a better opportunity kuwakandia[which you like] ktk suala hilo, kuliko haya mambo ya familia.

NB:

..yale mambo ya CCM kuzuru kaburi la Mwalimu kabla ya vikao limekaa kiaja-ajabu sana. sasa kama unataka kuzungumzia "influence" ungezungumzia hiyo.

Hapa mzee hakuna mambo ya tit for tat ! kwani walinifanyia nini mimi hadi niwalipizie ? kuongea na kuhoji vitu common sense haimaanishi walinifanyia kitu ! Hakuna anayeongea familia ya mbowe hapa, wala mtei, tunaongelea kuhusu CHADEMA na hadi sasa tunavyoangalia kiundani zaidi, sources zinatupeleka back hadi kwenye family ties, na hapa haimaanishi tukae kimya ! we will dig in deep as well ! kama mambo ya familia, basi acheni kumdiscuss mzee mkapa na anna mkapa, maana wao pia ni familia ! unajua vitu mwk alivyokuwa akisema kuhusu jk na familia yake? nitakuachia mwenyewe ufind out na ujue zaidi !

sina haja ya kufuatilia pendekezo lolote la chadema, iwapo nina mashaka tele kuhusiana na msingi mzima wa chadema ! pendekezo hata likiwa zuri vipi, how sure am i supposed to be kwamba kweli ni kwa ajili ya maslahi yangu? well, thats another topic ambayo unaweza kuanzisha !

kuhusu ccm kudhuru kaburi la nyerere, nadhani hiyo unaweza ukaihoji ccm yenyewe au kuanzisha thread hapa na watu watachangia ! lakini huwezi kubadirisha hii topic, na watu watachangia tu ili tujue ukweli ! mimi nawahoji chadema, na wewe wahoji ccm !
 
Huwa siingii kwenye mjadala hadi nielewe mjadala wenyewe. Mpaka hapo sijaelewa kabisa kinachojadiliwa! Hebu nieleweshe vizuri tuanze na tuendelee.

sio lazima kuchangia, unaweza pia kukaa pembeni na kuangalia watu wanachoongea and you might end up kuelewa !

kama unataka kuelewa vizuri zaidi, soma page ya kwanza kabisa juu ! utaelewa, na kama hautoelewa ULICHOANDIKA (maana umenukuliwa) basi nitaamini hujui unachosema !
 
Hapa mzee hakuna mambo ya tit for tat ! kwani walinifanyia nini mimi hadi niwalipizie ? kuongea na kuhoji vitu common sense haimaanishi walinifanyia kitu ! Hakuna anayeongea familia ya mbowe hapa, wala mtei, tunaongelea kuhusu CHADEMA na hadi sasa tunavyoangalia kiundani zaidi, sources zinatupeleka back hadi kwenye family ties, na hapa haimaanishi tukae kimya ! we will dig in deep as well ! kama mambo ya familia, basi acheni kumdiscuss mzee mkapa na anna mkapa, maana wao pia ni familia ! unajua vitu mwk alivyokuwa akisema kuhusu jk na familia yake? nitakuachia mwenyewe ufind out na ujue zaidi !

sina haja ya kufuatilia pendekezo lolote la chadema, iwapo nina mashaka tele kuhusiana na msingi mzima wa chadema ! pendekezo hata likiwa zuri vipi, how sure am i supposed to be kwamba kweli ni kwa ajili ya maslahi yangu? well, thats another topic ambayo unaweza kuanzisha !

kuhusu ccm kudhuru kaburi la nyerere, nadhani hiyo unaweza ukaihoji ccm yenyewe au kuanzisha thread hapa na watu watachangia ! lakini huwezi kubadirisha hii topic, na watu watachangia tu ili tujue ukweli ! mimi nawahoji chadema, na wewe wahoji ccm !


Unapenda mno kukurupuka.Mbona unashindwa kwenda straight to the point? Toa vielelezo vya kuifanya CHADEMA IONEKANE NGO na vielelezo vya kuifanya isiwe political party.Manake mtu yeyote pia kutokanana jinsi alivyoamka anaweza kuiita CCM NGO tena ya Kitchen party,sijui wewe hapo utamwambinini mtu huyo

nilitaka kusema vivyo hivyo ! yaani hata haelewi alichoandika !



Kazi kutegemea mawazo yawengine tu. Huko CCM mmezoea COPYand paste,huyu tayariamedakianaealitaka kusema hivyo.Duh!
 
I am new born here
Ila whatever the chama were and how it started but hasn't it exist? hasn't the chama rolling to bowling out chama cha mapinduzi?

you know what?? there has been only one baba wa taifa but none to claim the copyright o the state...

Still ccm ni feki feki feki feki afaanalek
 
Still ccm ni feki feki feki feki afaanalek

Mkuu heshima mbele tena sana, sasa sisi wananchi wa Tanzania tunaoichagua CCM kutuongoza for the last 45 years, tunakuwa vipi?

Eti feki! feki! feki! feki! au afanaaleeek!
 
Nadhani mjadala huu ungeweza kuwa serious kama tungeweza kupata data zaidi ya kuwa unaquote mtu na kuitumia kama kigezo. Fulani alisema Chadema ilianzishwa kama NGO, je alisema hadharani? Unaweza ukatuwekea hapa hiyo article?
Point 2: Chadema ilianza kama NGO - So what? unaifahamu green party ya Ujerumani iliyomtoa mpaka foreign minister? Je unajua green party ilianza kama NGO ya environment? So what has that got to do with anything?
Point 3: Mtei ni baba mkwe wa Mbowe - so what? Hillary Clinton ni mke wake rais wa zamani wa Marekani na aligombea urais.
Mi naona as if you are trying to make a point but you don't know what point you want to make. Wasilisha mada yako clearly ili tuweze kuchangia.
 
Mkuu heshima mbele tena sana, sasa sisi wananchi wa Tanzania tunaoichagua CCM kutuongoza for the last 45 years, tunakuwa vipi?

Eti feki! feki! feki! feki! au afanaaleeek!


Mkuu wangu Heshima yako,

Wananchi hapa hawalaumiwi sana mkuu kwani kutokana na ufeki wa CCM ambao hawataki kuitumia elimu ya Uraia ili kujenga demokrasia makini,imekufanya hadi wewe na wengine wengi wajiulize swali la msingi kama hilo.Je,Sisi wananchi tutakuaje?

Kama CCM ingekua chama makini,wala hata mtu mmoja asingefikiria negative about wananchi. CCM wakitoa takrima kwenye kampeni na kutumia hali duni ya wananchi kwa maslahi yao ambapo umaskini huo umesababishwa na sera mbovu za chama hicho as usaid 45 years in power,hapo ndipo ninapompunguzia mwananchi lawama na the rest nazielekeza moja kwa moja kwa CCM. Mkuu hapo umeonaje?
 
Mkuu heshima mbele tena sana, sasa sisi wananchi wa Tanzania tunaoichagua CCM kutuongoza for the last 45 years, tunakuwa vipi?

Eti feki! feki! feki! feki! au afanaaleeek!

Yes, SISI WANANCHI ni fake kwa sababu hatujui priorities zetu. we are very busy complaining of poverty and corruption yet we cant use our common sense to adress our problems. Yes, we are fake, because we have allowed some people to ride us for granted eating handsomely on our backs, yes we are fake, we sell our rights for cup of beer and plate of food, yes we are fake because we cant determine our destiny.

So we should be content with what we have in the administration. Tumewachagua wenyewe...kwa hiyo hata kama wakitudhihaki ni ujinga wetu!

So any CCM member...go on..its your right...mimi najilaumu mwenyewe na wananchi wenzangu kwa kuwa malofa wa kutojua what is good for us!

Watanzania tunajikaanga wenyewe...we have accepted that we are born to be poor and miserable! so who is to blame? It would be CCM, if it was five years..but hey its almost 40 years and we are poor day after day....no way tatizo ni sisi wananchi na wala si CCM! kama huamini subiri 2010..JK atashinda kwa kishindo na unafikiri atajipeleka ikulu? No way...hawa hawa wanaolia usiku kucha njaa, maradhi, umaskini, ufisadi nk..ndo watamwimbia akielekea ikulu! Let these wananchi suffer kwanza..labda itafika point wataelewa umuhimu wao wa kuwa katika hii dunia!

CCM hawana kosa, kosa ni sisi wananchi ambao hatujui/hatutaki kufikiri hatma yetu! Eti CCM ilete elimu ya uraia? you are dreaming...ni jukumu lako wewe mwananchi kutumia utashi wako...uliona wapi..anayekula na kipofu akimshika mkono? Do you really think CCM is interested kuona wananchi wake wakipata uelewa wa mambo? No way...anayesubiri elimu ya uraia...mwache aendelee kusubiri! Hopefully elimu uliyopata ya msingi kama haikukusaidia kujua umuhimu wa kura yako...pole...
 
Wananchi hapa hawalaumiwi sana mkuu kwani kutokana na ufeki wa CCM ambao hawataki kuitumia elimu ya Uraia ili kujenga demokrasia makini,imekufanya hadi wewe na wengine wengi wajiulize swali la msingi kama hilo.Je,Sisi wananchi tutakuaje?

Mkuu wangu,

CCM ni chama cha siasa, ambacho kama vyama vyote vya siasa duniani ina lengo moja kubwa, nalo ni kushinda uchaguzi ili kitawale, sasa ni lazima tukubaliane kuwa on that angle waemkuwa successful kwa kuweza kuhitimisha hiyo goal for the last 45 years, ukweli ambao CCM haiwezi kuusema in public ni kwamba mafanikio yao yame-base mostly kwenye mawili, either wananchi wasiokuwa na uwezo mkubwa wa kuelewa na kufikiri au kukosekana kwa a serious threat kama sio altrenative if you will,

CCM is not to be blamed kwa ajili ya our national misery, ni sisi wananchi ndio tunaotakiwa ku-take responsibility, ni kweli kuwa CCM huwa inatoa takrima, lakini si kweli kwamba hufanya hivyo kwa taifa zima, sasa kuendelea kurusha rusha hizi kauli nzito nzito against CCM, ukweli ni kujaribu kukwepa our own kivuli,

Wakati umefika wabongo tuanze kutafuta exactly tatizo liko wapi, na namna ya kutitatua ama sivyo tutaendelea kutawaliwa na CCM mpaka mwisho wa dunia, ni mpaka pale tutakapo elewa kuwa tatizo so far ni sisi wananchi wenyewe!, Kwa sababu kelele nyingi ninazoziona zinaonekana kuwa ni za kutaka tu kupata madaraka in short term, lakini sio solution kwa our nation tena kwa the long term!
 
Nadhani mjadala huu ungeweza kuwa serious kama tungeweza kupata data zaidi ya kuwa unaquote mtu na kuitumia kama kigezo. Fulani alisema Chadema ilianzishwa kama NGO, je alisema hadharani? Unaweza ukatuwekea hapa hiyo article?
Point 2: Chadema ilianza kama NGO - So what? unaifahamu green party ya Ujerumani iliyomtoa mpaka foreign minister? Je unajua green party ilianza kama NGO ya environment? So what has that got to do with anything?
Point 3: Mtei ni baba mkwe wa Mbowe - so what? Hillary Clinton ni mke wake rais wa zamani wa Marekani na aligombea urais.
Mi naona as if you are trying to make a point but you don't know what point you want to make. Wasilisha mada yako clearly ili tuweze kuchangia.

sawa nakubali ! hapa kitu kipo vere clear, maana kitila mkumbo ndiye aliyotoa hizo facts kwamba chadema ilikuwa NGO na haraka haraka NGO ikabadirika kuwa chama.... sasa tunachouliza ni kwa nini NGO na waanzilishi wake wabadilishe hiyo NGO yao na kuwa chama cha siasa bila ya kubadirisha katiba ?

Je hiyo NGO ilianzishwa mwaka gani na mwaka gani NGO hiyo iligeuzwa na kuwa chama ?

Nani walikuwa waanzilishi wa hiyo NGO ?
Nani walikuwa waanzilishi wa hicho chama ?

Haya ni baadhi ya maswali ambayo lazima chadema ijibu otherwise this statement will go all the way along to the end...
 
Yes, SISI WANANCHI ni fake kwa sababu hatujui priorities zetu. we are very busy complaining of poverty and corruption yet we cant use our common sense to adress our problems. Yes, we are fake, because we have allowed some people to ride us for granted eating handsomely on our backs, yes we are fake, we sell our rights for cup of beer and plate of food, yes we are fake because we cant determine our destiny.

So we should be content with what we have in the administration. Tumewachagua wenyewe...kwa hiyo hata kama wakitudhihaki ni ujinga wetu!

So any CCM member...go on..its your right...mimi najilaumu mwenyewe na wananchi wenzangu kwa kuwa malofa wa kutojua what is good for us!

Watanzania tunajikaanga wenyewe...we have accepted that we are born to be poor and miserable! so who is to blame? It would be CCM, if it was five years..but hey its almost 40 years and we are poor day after day....no way tatizo ni sisi wananchi na wala si CCM! kama huamini subiri 2010..JK atashinda kwa kishindo na unafikiri atajipeleka ikulu? No way...hawa hawa wanaolia usiku kucha njaa, maradhi, umaskini, ufisadi nk..ndo watamwimbia akielekea ikulu! Let these wananchi suffer kwanza..labda itafika point wataelewa umuhimu wao wa kuwa katika hii dunia!

CCM hawana kosa, kosa ni sisi wananchi ambao hatujui/hatutaki kufikiri hatma yetu! Eti CCM ilete elimu ya uraia? you are dreaming...ni jukumu lako wewe mwananchi kutumia utashi wako...uliona wapi..anayekula na kipofu akimshika mkono? Do you really think CCM is interested kuona wananchi wake wakipata uelewa wa mambo? No way...anayesubiri elimu ya uraia...mwache aendelee kusubiri! Hopefully elimu uliyopata ya msingi kama haikukusaidia kujua umuhimu wa kura yako...pole...

mwendo huo huo mzee !
 
Hawa ndio viongozi wa CHADEMA wa mwanzo kabisa (sijui chadema as an NGO or political party hapo sijui) !!

1. Ndg. Edwin Isaac Mtei - Mwenyekiti
2. Ndg. Ali Suleiman Ahmed - Makamu mwenyekiti (visiwani)
3. Ndg. Brown Ngwilulupi - Makamu Mwenyekiti (bara)
4. Ndg. Bob Nyanga Makani - Katibu Mkuu
5. Ndg. Mustafa. S. Simba - Naibu Katibu Mkuu (visiwani)
6. Ndg. Eric Rashid Mchatta - Naibu Katibu Mkuu (bara)
7. Ndg. Eric Rashid Mchatta - Katibu Mwenezi


JE HIYO NGO AMBAYO MBOWE ALIITOA HADI KUFIKIA WINNABLE POLITICAL PARTY ILIKUWA IMESAMBAA HADI VISIWANI kama tunavyoona katika hayo majina ya uongozi ??
 
Mojawapo ya sababu zilizomwezesha George Bush kurud tena madakani mwaka 2004 ni ile tabia ya John Kerry kukaa kimya kukiwa na allegetions juu yake. Pamoja na kuboronga kote kwa Bush lakini wamerekani wakaona bora waendelee na Bush kuliko yule ambaye ameshindwa kuwathibitisha uongozi bora zaidi.

CHADEMA wana attitude kama ya John Kerry. Hawako tayari kujibu maswali. Wanadhani kuelezea sera zao inatosha kumbe wakati mwingine watu kabla hata ya kusikiliza sera zako wanataka kukifahamu chama chenyewe kilivyo.Tukiuliza tunakutana na visingizio tu, mara swali halijaeleweka, mara muuliza swali ni fisadi etc. Mwenendo huu hauashirii vizuri hasahasa kwa chama ambacho bado kina jukumu kubwa la kutafuta kuaminiwa na wananchi.
 
As Orwell said, "Political language… is designed to make lies sound truthful, murder respectable, and to give an appearance of solidity to pure wind."...

Come all join the club.... NDIVYO TULIVYO!
 
Back
Top Bottom