Mr. Bigman
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 2,560
- 1,299
Mkuu tunataka ushaidi wa maelezo yako mkuu
Ingia fb ukajionee mwenyewe
Mkuu tunataka ushaidi wa maelezo yako mkuu
Inaweza kuwa kweli au isiwe kweli.You are so fun man! Hivi hapo umeona kuna swali la kupelekwa ofisini? Huyu mleta maada ametumia polite way ya kuwataka muijadili akili ya Shonza, sasa ofisi gani ya CHADEMA ina muda wa kujadili huu ujinga unaofanywa na watu waliokwisha kufukuzwa? Halafu kuna hoja gani ya msingi hapo ya kujibiwa na chadema.
Cha msingi hapa ni kuijadili hiyo status ya shonza na tupime akili zake kama zinatosha hata kuwa balozi wa nyumba kumi!
Naamini wakati anaingia BAVICHA alikuwa na akili timamu lakini tangu aanze kutumiwa na CCM, na akili ikapotea ghafla. Kwa sasa tumvumilie tu!
Mkiambiwa mna element za udini mnakuja juu, kumbuka hata kama si kweli ila manenoneno yenu yanatia shaka, najua utatokwa na mapovu na matusi ila yaangalie maneno yako kabla hayajakutoka mdomoni.
Ponda anayo matatizo yake na yanashughulikiwa kwa mujibu wa sheria za Nchi tatizo liko wapi hata aonekane ni threat kwako? Mbona hakuna mshabaha na alichochangia huyo ndugu? HUU UBAGUZI WA KIIMANI UTAJATUGHARIMU WATANZANIA SIKU MOJA NYIE ENDELEENI TU!!!!
......
Sheikh Ponda Fellowship wala hupati tabu kuwagunduwa.
Sijakupaka, ila nahitaji maelezo hasa kutoka kwa Dr Kitila Mkumbo wa UDSM kwamba hiki ndicho kiingereza wanachowafundisha watoto zetu siku hizi? maana huyu aliwahi kuhoji Elimu ya Dr Slaa, sasa nashindwa kuelewa kama ana sifa hizo kweli za kuhoji Elimu ya Dr Slaa?
Amesahau jinsi ccm inavyopata misaada kampeni kenya na kutoa mpaka Gari la T.O.T malawi
... Tunaomba Chadema mtueleze huwa mnatumia vigezo gani kupata viongozi wenu?
Nasikitishwa sana licha mimi kutokuwa Mwanachama wa Chadema bali ni Mzalendo wa kweli ninyeipenda nchi yangu na ninaamini kwa sasa ni Chadema peke yake ndio tegemeo letu.
Swali, hawa watoto tulioambiwa na Kitila Mkumbo kwamba hawajabalehe waachwe wabalehe kwanza, mimi pamoja na utu uzima wangu lakini huwa natembelea Facebook, licha ya upuuzi mwingi unaoandikwa na Juliana Shonza na shoga yake Mtela Mwampamba leo nimestushwa kukuta status ya Juliana Shonza kuipiga kijembe Chadema kwamba kwa nini inashabikia siasa za Kenya huku akisahau John Pombe Magufuri alikuwa Kenya kumuunga mkono rafiki yake Raila Odinga.
Sasa kilichonipelekea mpaka kuomba ufafanuzi kutoka Chadema ni huyu binti kumalizia maelezo yake kwa kusema Charity Begun at Home!! hivi huyu ndio Graduate wa UDSM? Tunaomba Chadema mtueleze huwa mnatumia vigezo gani kupata viongozi wenu?
Msukule Mweusi bahati mbaya sina muda wa kujadiliana na misukule, ila umenisikitisha kujitambulisha na wewe ni miongoni mwa Wanachadema, kweli Chadema bado ina kazi nzito inaonekana ni kokolo lililovuwa mpaka vyura na makenge!!Acha ushamba wewe ni magamba tu huwezi kujificha tusikugundue, waliokutuma wamekugeuza kinyago fulani hata humu JF tunakuona kituko fulani kaa ujue kwa jinsi yoyote huwezi kuikashifu na kuitukana CHADEMA huku tukinyamaza. "No stone will be left unturned".