Jibu lipo wapi,wakati mnaonekana kuishiwa nguvu ,mnalalamika kila siku ,sasa mmeanza kupandishwa kizimbani ,kuna udhaifu ambao umeanza kuwakumba ,wenye neema na wanaoweza kupambana ni hawa mijini ila mikoani huko bado mmewaacha na yakiwafika mnakuwa hamna msaada , CDM inawatetea kwa wito gani hawa.
Kama huoni jibu kwenye mlolongo wa post zake I dont know how I can help, except niseme siku nyingine ukipewa taarifa ya ku-post hapa basi take your time and read it before pressing the button, vinginevyo utajikuta unapost maswali na majibu at the same time kama ambavyo umefanya kwenye hii thread.