Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Nawapa ushauri wa bure viongozi wote wa Chadema ikiwa mnatishiwa kuuwa basi ushauri wa bure ni kuvunja hicho chama.
Haiwezekani siku hizi kila kiongozi wa CDM anatishiwa kuuwawa mnatishiwa na hamuogopi kuacha kazi, basi jamaa hao wataanza kufanya kweli.
Kama hamuogopi basi tangazeni tu kama walivyotangaza Uamsho kuwa akiuliwa kiongozi wao mmoja basi upande waliouwa nao wamtayarishie mwenzao kaburi ,Wakiwa na maana ya TIT FOR TAT ,hakuna kutishana tena.
JE CDM bado mnaogopwa kutishwa ,kama jawabu ni ndio basi hamfai na vunjeni chama ,kama jawabu ni hapana basi jibuni mapigo hadharani.
Nina wasiwasi tayari mmeshaonyesha kuwa ni waoga na ndio maana ,mna kamatwa kamatwa kama ndezi na kuswekwa rumande.Mwezi uu tumeshuhudia mkikurupushwa kama ngedere ,kila siku kizimbani ,mambo haya mtayakomesha lini.
Haiwezekani siku hizi kila kiongozi wa CDM anatishiwa kuuwawa mnatishiwa na hamuogopi kuacha kazi, basi jamaa hao wataanza kufanya kweli.
Kama hamuogopi basi tangazeni tu kama walivyotangaza Uamsho kuwa akiuliwa kiongozi wao mmoja basi upande waliouwa nao wamtayarishie mwenzao kaburi ,Wakiwa na maana ya TIT FOR TAT ,hakuna kutishana tena.
JE CDM bado mnaogopwa kutishwa ,kama jawabu ni ndio basi hamfai na vunjeni chama ,kama jawabu ni hapana basi jibuni mapigo hadharani.
Nina wasiwasi tayari mmeshaonyesha kuwa ni waoga na ndio maana ,mna kamatwa kamatwa kama ndezi na kuswekwa rumande.Mwezi uu tumeshuhudia mkikurupushwa kama ngedere ,kila siku kizimbani ,mambo haya mtayakomesha lini.