jidanganyeni na umati wa vitotoAsante mkuu ila usishangae watu wakikuomba picha manake nimegundua wanadamu hawaamini wakiambiwa hadi waone. CDM ni chama makini mkuu ushindi walishashinda sema ti NEC iliamua kumtangaza mtu wao!
kheee natazama TBC1 hapa siamini nachokiona...duhhhh huu umati ni sumbawanga au wapi? mhhh 2015 kazi ipo ....
Tbc wameficha habari ya wizi wa 200bn
ukweli upi ama hizo porojo za kila siku tumechoka tafuteni wimbo mwinginewataficha sana lakini ukweli kamwe haufichiki..
Nimejifunza kuwa Watanzania wengi hawana shughuli za kufanya, hivyo kuwa tayari kujiunga kwenye tukio lolote litakalowachangamsha na kuwasaidia kuupoteza muda wa siku husika.
Hapa chini ni wana Sumbawanga walipoenda kumsikiliza Kikwete mwaka jana.
Francis Godwin ni mzee wa matukio daima: MGOMBEA URAIS WA CCM DR. JAKAYA MRISHO KIKWETE APATA MAPOKEZI MAKUBWA SUMBAWANGA LEO
endeleeni kuishi kwa matumaini tu sidhani kama cdm itakuwepo mpaka 2016kheee natazama TBC1 hapa siamini nachokiona...duhhhh huu umati ni sumbawanga au wapi? mhhh 2015 kazi ipo ....
ukweli upi ama hizo porojo za kila siku tumechoka tafuteni wimbo mwingine
nae ni binadamu kama wewe na huenda ana upeo marafu yakongoja ni mwamshe house girl akueleweshe..
endeleeni kuishi kwa matumaini tu sidhani kama cdm itakuwepo mpaka 2016
kama mkiwaondoa mboe na zitto mnaweza kusalimikaccm mpo kama osama. aliishi kwa kujidanganya kuwa hatakamatwa. nyie mnadhani cdm itavunjika ila kwa taarifa yako inaimarika zaidi
jipeni matumaini tu hii cdm sidhani kama itakuwepo 2015Umati ni mkubwa sana waliojitokeza huko sumbawanga katika maandamano ya CHDEMA,CCM hata wagawe pesa kwa watu na kutoa magari ya kuwabea watu hawawezi kuwa na umati kama huu.Mungu ibariki CHADEMA MUNGU WABARIKI WATANZANIA WAENDELEE KUPATA UFAHAMU ILI MKOLONI MWEUSI ATOKE MADARAKANI.
<br />ukweli upi ama hizo porojo za kila siku tumechoka tafuteni wimbo mwingine