Mpui Lyazumbi
wewe pia ni mmojawapo wa wanaharakati wa mabadiliko ya maendeleo ya taifa letu ....
asante kwa kuwa na ujasiri wa kutujuza kilichojiri live... endelea mkuu
Asante mkuu ila usishangae watu wakikuomba picha manake nimegundua wanadamu hawaamini wakiambiwa hadi waone. CDM ni chama makini mkuu ushindi walishashinda sema ti NEC iliamua kumtangaza mtu wao!
Yaliyopita sinwele tuangalie yanayokuja genekai huyu mswahili wa hapo uzaramoni ninakuhakikishia hatomaliza hii ngwe yake nchi imedhohofika kama ungejua ni hali gani serikali inayo kwa sasa
MPUI HII NI MESEJI YA Tundu A. Lisu anatumia LAT
Wakuu, hawa jamaa nilikuwa nawasikia na kuwaona tu kwenye media. Nawashuhudia hapa Sumbawanga, maandamano yamefunga barabara the entire 3km to katikati ya mji. Siyo siri, mimi napata picha mpya kabisa na wasifikiriwe kuwa bado ni chama kidogodogo. Wanasupport ya dhati kutoka kwa wananchi tena walioacha shughuli zao kuja kuwasikiliza. Stay tuned!
Mpui Lyazumbi
wewe pia ni mmojawapo wa wanaharakati wa mabadiliko ya maendeleo ya taifa letu ....
asante kwa kuwa na ujasiri wa kutujuza kilichojiri live... endelea mkuu