Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Taarifa za uhakika nilizonazo kutoka Morogoro, ni kuwa viongozi wa Baraza la vijana Taifa (Bavicha), Bw. John Heche(mwenyekiti) na Bw. Deogratius Munishi(Katibu Mkuu) wapo mjini humo katika harakati za kukiimarisha chama.
Wataanza kwa kufungua tawi la vijana Nanenane, kisha watafungua tawi jengine Kilakala na mwisho watafungua matawi mawili kata ya Kichangani.
Baada ya kukamilisha shughuli ya ufunguzi wa matawi, watamalizia kwa kuhutubia mkutano wa hadhara eneo la Kichangani.
Wananchi wa Morogoro kazi kwenu ugeni ndio huo, vijana wako kazini na ujumbe wa ukombozi wa kweli toka kwa mkoloni mweusi.
Naomba kuwasilisha.
Wataanza kwa kufungua tawi la vijana Nanenane, kisha watafungua tawi jengine Kilakala na mwisho watafungua matawi mawili kata ya Kichangani.
Baada ya kukamilisha shughuli ya ufunguzi wa matawi, watamalizia kwa kuhutubia mkutano wa hadhara eneo la Kichangani.
Wananchi wa Morogoro kazi kwenu ugeni ndio huo, vijana wako kazini na ujumbe wa ukombozi wa kweli toka kwa mkoloni mweusi.
Naomba kuwasilisha.