Makamanda cha chama cha demokrasia na maendeleo kuvamia jimbo la bibi mkola Njombe.
Hata kabla ya makamanda kuanza kazi ya kumwaga upupu tayari maelfu ya wabena na makabila yanayoishi hapa Njombe wameanza maandalizi mithili ya ujio wa Masia.Jumatatu na jumanne patachimbika hapa Njombe.
Hata kabla ya makamanda kuanza kazi ya kumwaga upupu tayari maelfu ya wabena na makabila yanayoishi hapa Njombe wameanza maandalizi mithili ya ujio wa Masia.Jumatatu na jumanne patachimbika hapa Njombe.