tata mugaka
Member
- Apr 6, 2012
- 47
- 6
Nipo hapa jamvini kutaka kujua endapo chadema watapewa ridhaa ya kuongoza dora rais na mawaziri watakuwa kina nani? Mikoa na wilaya watashika watu gani? wakurugenzi watakuwa kina nani? ukishajiuliza haya ndipo ujiulize chama kimejipanga vp kuwa na mbadala wa viongozi.Nashauri sasa chama kiweke mkakati mzuri wa kuandaa viongozi ambao pia wanaweza kuwa chachu ktk kushika dola. Nawasilisha tujadili !