Obi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 374
- 79
Mchambuzi lengo la mjadala/mada yako ni nzuri sana kuamsha ari ya wanasiasa kutumia takwimu zilizopo kuangalia wapi wakijikwaa, ingawaje nachelea kusema asilimia kubwa ya wanasiasa wahazitumii hizi takwimu. Kuhusu uchakachuaji wa kura, hilo halina nafasi kwa sasa. Takwimu hizi zitabaki kuwa halali kwa sasa na hata tunawaita wafadhili wa nchi hii wanatumia hizo takwimu.
Uchaguzi ni kama mchezo wa mpira, unahitaji ushikiano wa hali ya juu kushinda (team player) na hii ndio iliyokosekana kwa wanachadema kwenye uchaguzi uliopita. Kisingizio cha uchakachuaji wa kura nafikiri uwekwe pembeni na kutafuta ni Wapi walipojikwaa waweze kujirekebisha uchaguzi ujao
Uchaguzi ni kama mchezo wa mpira, unahitaji ushikiano wa hali ya juu kushinda (team player) na hii ndio iliyokosekana kwa wanachadema kwenye uchaguzi uliopita. Kisingizio cha uchakachuaji wa kura nafikiri uwekwe pembeni na kutafuta ni Wapi walipojikwaa waweze kujirekebisha uchaguzi ujao
Last edited by a moderator: