Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Mwl.Nyerere watu kama wewe aliwaita ZUZU au mazuzu.
hivi huoni huko Gavana wa kwanza wa nchi hii Mtei, humwoni Prof.Baregu, Dr.Kitila,Prof.Abdalah Safari,Marando,Suzan Lyimo,Antony Komu, Regia, Mrema,Kigaila,Lwakatare,Waitara,Daffi Ester et al.
Wapo wengi mno tatizo unaowajua ni wale unaotaka kuwajua .
Mkuu huyo ritz ni zuzu kabisa wala usipoteze muda wako kumtajia hiyo hazina yetu.