Mambo ya kiuchumi CDM hawawezi kutoa kauli yoyote wao wana subiri maandamano tu..
Wewe unadhani mtu kama Heche ataongea nini kwenye uchumi wa nchi hii.
Yeye anachojua ni kufoka na kuvaa magwanda tu
We Ritz One unaye jua kuongea kwa hila huoni ulipoifikisha nchii kiuchumi??????????? Bado tuu unataka kuendelea kuididimiza nchi yetu, nyie na maghamba wenu hamna lolote mmebaki kazi kuua watu na kuwatupa machakani!!!!!!!!!!!!Mambo ya kiuchumi CDM hawawezi kutoa kauli yoyote wao wana subiri maandamano tu..
Wewe unadhani mtu kama Heche ataongea nini kwenye uchumi wa nchi hii.
Yeye anachojua ni kufoka na kuvaa magwanda tu
Kama wewe na Babako mnavyojua kujimilikisha nyumba za NSSF, kila zinapotoka wapangaji tunapoomba inaletwa fomu ya Ridhiwan anaitaka na kwa uoga wa watu unapewa! Basi chukua nyumba zote zilizo Dar. Aibu!Mambo ya kiuchumi CDM hawawezi kutoa kauli yoyote wao wana subiri maandamano tu..
Wewe unadhani mtu kama Heche ataongea nini kwenye uchumi wa nchi hii.
Yeye anachojua ni kufoka na kuvaa magwanda tu
Kwa sasa kuna crisis ya kuporomoka kwa TSHS against USD.Je chadema ingesolve vipi tatizo hili? Cant you advise mkulo on this?
Mambo ya kiuchumi CDM hawawezi kutoa kauli yoyote wao wana subiri maandamano tu..
Wewe unadhani mtu kama Heche ataongea nini kwenye uchumi wa nchi hii.
Yeye anachojua ni kufoka na kuvaa magwanda tu
Nchi hii si ya mtu/chama kimoja tu kutawala,wakipewa madaraka wanaweza sana.Mambo ya kiuchumi CDM hawawezi kutoa kauli yoyote wao wana subiri maandamano tu..
Wewe unadhani mtu kama Heche ataongea nini kwenye uchumi wa nchi hii.
Yeye anachojua ni kufoka na kuvaa magwanda tu
Lazima uwe mgonjwa na umejawa na mapepo wewe .Hujawahi kuchangia hata siku ila you are always after personalities your heart is devil's heart full of hate .Go to hel kapumzike huko .
Kwa jinsi usivyoacha kumtaja Heche kila leo ni dhahiri kabisa kwamba kama wewe ni mwanamke utakuwa radhi kuisaliti ndoa yako kwa ajili yake.
Kwa hiyo wewe ni small house ya Heche?
nyamaza wakati wanaume wanajadili matatizo ya nchi yao!umesikia mama mjamzito kakataliwa kuzalishwa kisa hana sh 30 000?kuwa na roho ya kibinadamu tulete maendeleo ya jamii yote ktk nchi
Masuala ya Uchumi ni taaluma sio porojo..
Nikiangalia safu yote ya Uongozi wa CDM wenye elimu ya chuo kikuu ni watatu tu.
1. Zitto Kabwe
2. Halima Mdee
3. Tindu Lissu
Wengine hamna kitu
Kwa hiyo wewe ni small house ya Heche?
CCM na Gavana wao hawajui neno balance of trade .Wakilijua hili basi Uchumi utasimama na CCM ukiwaambia in the open hawakubali ila wanapinga wakiingia wanajifanya kutoka kwamba wan solution kumbe wame copy .Kwa sasa wako bize kila moja anatafuta cha kuuza .Pinda kauza Ardhi huko US Mkulo na Gavana nao wana yao .