CHADEMA na CUF walazimika kuomba msamaha Bungeni

Haya ndio mambo ya ukomavu wa siasa tunayotaka kuyasikia...ngoja wazee wa ngonjera za ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI WAJE HAPA utawasikia watakovyotoka povu....
 
Huo ndio uungwana kwani wote wanajenga nyumba moja haina sababu kugombea fito! Wacha wananchi wachague mjenzi wanayemtaka awajengee nyumba yao!
 
Sasa ni bifu zito.

Mjadala unaendelea bungeni kwa sasa!!

CHADEMA.
1.Sasa yale maneno ya kuhudhi pg7-9 kuondolewa.
2.Sasa CHADEMA waamliwa kuomba radhi.
3.Mbowe aamlishwa kumuomba radhi naibu spika kwa kosa la Wenje kumdhalau naibu spika,na pia anatakiwa kuomba radhi bunge lote.

CUF:
Nao waambiwa wawaombe radhi CHADEMA kwa kuchanana hotuba yao. Pia wote waamliwa kumuomba radhi naibu spika kwa kufanya vurugu bungeni jana.[/QU mi nadhani wangekuwa wanatozwa fine katika posho zao kwani wanafanya makusudi pindi wakumbukapo vimada wao wanaanzisha sekeseke kikao kivunjwe wakafanye mambo yao. Is unfair game they play to us
 
Kufuatia msimamo wa Wenje kukataa kufuta kauli yake jana, baada ya kuhituhumu CUF kuwa ina hafiki masuala ya kishoga na usagaji kutokana na kuwa mwanachama wa jumuiya ya kiliberali, leo CHADEMA imekiri kuwa imekidhalilisha chama hicho na imeomba radhi.

My take;

CHADEMA imekusudia kupeleka siasa za maji taka bungeni, na hili lina dhihirishwa na hotuba kadhaa zilizo somwa na wabunge wa CHADEMA.

Tukija kuangalia uhalisia wa CUF kuwa mjumbe wa Liberal, ni kama vile Tanzania kuwa nchi mwanachama wa jumuiya ya madola, jumuiya ya madola ina zitambua haki za mashoga na usagaji, je, Tanzania tuna zitambua?

Ni akili finyu ya viongozi wa kambi ya upinzani ikiongozwa na CHADEMA kwa kushindwa kwake kuchambua mambo madogo madogo kama haya, na kupelekea vurugu zisizo na lazima bungeni, na kulitia taifa hasara.

Nakiri kusema CHADEMA ni janga la bunge,janga la siasa na ni janga la taifa.

uliberali hauondoshwi kwa kuwa mkali. Uliberali utaondoshwa kwa hoja. Mtalaumu sana chadema kwa kuwafunulia watanzania kwamba cuf ni waliberali. Hilo ndo lililoimaliza cuf hiyo jana. Watu hawatawaelewa tena cuf. Duh,ni hatari aisee
 
Pale kilichofanyika ni kufunika kombe mwanaharamu apite,najua kuna watakaoleta tena mjadala huu wakati wa kuchangia hotuba hii na hapo litazuka jingine,kufuta kile kipengele haitowasaidia CUF cha msingi wajieleze wazi msimamo wao umesimama wapi maana haitoshi tu kusema HAKI SAWA KWA WOTE,kila kitu kina mipaka yake.
 
Kama tafsiri aliyotaka kuleta wenje ni sahihi, basi nimeamini kuwa wanachokisema CCM kuhusu CHADEMA kuwa ni chama cha Kikristo kwani wadhamini wao wakuu wanaotaka cdm waingie madarakani ni chama cha kikristo.

Nawaomba waislam wote ambao mlioko huko muondoke kwani mmekalia mlango usio wa Iman yenu.

CHADEMA=CDU=CHAMA CHA WAKRISTO. SIJUI KAMA HILI AU HUU UPUUZI KAMA SERIKALI INAUKUBALI.
 
Sasa ni bifu zito.

Mjadala unaendelea bungeni kwa sasa!!

CHADEMA.
1.Sasa yale maneno ya kuhudhi pg7-9 kuondolewa.
2.Sasa CHADEMA waamliwa kuomba radhi.
3.Mbowe aamlishwa kumuomba radhi naibu spika kwa kosa la Wenje kumdhalau naibu spika,na pia anatakiwa kuomba radhi bunge lote.

CUF:
Nao waambiwa wawaombe radhi CHADEMA kwa kuchanana hotuba yao. Pia wote waamliwa kumuomba radhi naibu spika kwa kufanya vurugu bungeni jana.

Angalau wana-CUF sasa wajuwa chama chao ni cha mrengo gani
 
Mnadhimu wa CUF kwa niaba ya CUF na Mh Freeman Mbowe kwa niaba ya chadema wameombana radhi Bungeni baada ya kikao cha jana kilichokaa mpaka usiku.


CHADEMA.
Chadema japokuwa hawabadilishi msimamo wao kuhusu ukweli kwamba CUF wapo ktk umoja wa vyama vya kilibirerali ambavyo msingi wake mkuu ni kutetea haki za watu binafsi ikiwepo ushoga na usagaji hata hivyo, kwa ajili ya mustakabali mwema wa Tanzania CHADEMA wakawaomba radhi CUF pale waliopokwazwa na maneno yaliyotumika.
Mbowe pia amemwomba spika radhi kutokana usumbufu wa kuahirishwa Bunge kutokana hotuba yao.

CUF.

CUF wamewaomba radhi Chadema kupitia kwa kiongozi wao kuhusu matusi, kejeli na Kashfa walizomwambia Wenje. Wenje alisoma kwa niaba ya Chadema, siyo hotuba binafsi. Matusi dhidi ya wenje ni matusi dhidi ya kambi nzima ya Chadema.
Pili, Cuf walichana hotuba ya chadema bungeni.
Tatu, CUF walifanya vurugu zilizosababisha Bunge kuahirishwa.
aamlishwa kumuomba radhi naibu spika kwa kosa la Wenje kumdhalau naibu spika,na pia anatakiwa kuomba radhi bunge lote.


My take.
wote wamefanya jambo jema.

Huyu mtu asingekuwepo CHADEMA sijui ingekua na hali gani, mara nyingi busara zake zimeleta sana muwafaka.
 
Kwani CHADEMA hamjui kilichowapeleka bungeni?yani mnapoteza pesa za watanzania kwa kusema cuf ni mashoga wakati majimboni kwenu hakuna ata panadol?

Ama kweli mtoto umleavyo ndivyo akuavyo kha!
 
Pale kilichofanyika ni kufunika kombe mwanaharamu apite,najua kuna watakaoleta tena mjadala huu wakati wa kuchangia hotuba hii na hapo litazuka jingine,kufuta kile kipengele haitowasaidia CUF cha msingi wajieleze wazi msimamo wao umesimama wapi maana haitoshi tu kusema HAKI SAWA KWA WOTE,kila kitu kina mipaka yake.

..hili ni yai viza la mbuni!
 
Jana tarehe 30 Mei 2013 shuguli za kawaida za bunge zilishindikana asubuhi na hatimaye jioni kutokana na fujo walioizua wabunge wa CUF kupinga sehemu ya hotuba ya kambi rasmi ya upinzani iliyokuwa inasomwa na Mh. Wenje (CHADEMA) kwa madai kwamba inakidharirisha chama cha CUF. Wabunge hao wa CUF walizua tafrani kubwa na nusura msuri utumike kukidhi haja ua gadhabu zao. Wakiwa ndani na baadaye nje ya viwanja vya Bunge wabunge hao wa CUF waliporomosha matusi ya nguoni dhidi ya Mh. Wenje na CHADEMA licha ya kusababisha hotuba hiyo kuzuiwa kusomwa na shughuli za bunge kuahirishwa.
Nimemsikiliza vizuri sana Mh. Wenje jana jioni wakati akifafanua kauli hiyo na nimemwelewa. Point ni kwamba "core values" za walibarali pamoja na mengine ni kuzitambua haki za makundi madogo na kuzipigania. Makundi hayo ni pamoja na watu wa ndoa za jinsia moja (huku kwetu tunaita mashoga na wasagaji). Hiki hakuna anayeweza kukikanusha na huu ndo msimamo wa waliberali na washirika wao popote duniani.

CUF (katika tarehe aliyoitaja bungeni Mh. Wenje) walikwishajiunga na mrengo huo wa waliberali. Hivyo katika siasa za kimataifa CUF wanaji-identify na waliberali. Hilo nalo CUF hawana uwezo wa kulikanusha. Sasa kosa la Mh. Wenje ni lipi? Kwani si kweli kwamba CUF walishajiunga na kundi la waliberali katika siasa za kimataifa? Au si kweli kwamba mrengo wa waliberali unapikania (pamoja na mambo mengine) kutambuliwa ndoa za jinsia moja? Uwongo wa Mheshimiwa wenje ni upi na aombe radhi kwa lipi?

CUF wangekuja na hoja ya kukanusha kwamba wao hawajawahi kujiunga na mrengo wa waliberali tungemtaka Mh. Wenje athibitishe kauli yake; lakini hapa hoja si kwamba CUF wanakanusha kuwa wao si waliberali. Au wangesema kutetea ndoa za mashoga/wasagaji si ideology ya waliberali tungemtaka Mh. Wenje athibitishe. Sasa kwa kuwa kiukweli waliberali wanapigania kutambuliwa haki wa mashoga/wasagaji na kwa kuwa ni kweli kwamba CUF (ktk tarehe aliyoitaja jana jioni Mh. Wenje) walikwishajiunga na mrengo wa waliberali, CUF ndio wanaopashwa kuliomba radhi bunge na wananchi kwa kusababisha fujo, kwa ubabe usio na hoja, matusi na kusitishwa kwa shuguli za bunge siku nzima ya jana.

Nimetoa hoja; anayejibu ajibu kwa hoja.
 
Kama tafsiri aliyotaka kuleta wenje ni sahihi, basi nimeamini kuwa wanachokisema CCM kuhusu cdm kuwa ni chama cha Kikristo kwani wadhamini wao wakuu wanaotaka cdm waingie madarakani ni chama cha kikristo.

Nawaomba waislam wote ambao mlioko huko muondoke kwani mmekalia mlango usio wa Iman yenu.

CDM=CDU=CHAMA CHA WAKRISTO. SIJUI KAMA HILI AU HUU UPUUZI KAMA SERIKALI INAUKUBALI.

..CUF ni yai viza la mbuni!
 
Mnadhimu wa CUF kwa niaba ya CUF na Mh Freeman Mbowe kwa niaba ya chadema wameombana radhi Bungeni baada ya kikao cha jana kilichokaa mpaka usiku.


CHADEMA.
Chadema japokuwa hawabadilishi msimamo wao kuhusu ukweli kwamba CUF wapo ktk umoja wa vyama vya kilibirerali ambavyo msingi wake mkuu ni kutetea haki za watu binafsi ikiwepo ushoga na usagaji hata hivyo, kwa ajili ya mustakabali mwema wa Tanzania Chadema wakawaomba radhi CUF pale waliopokwazwa na maneno yaliyotumika.
Mbowe pia amemwomba spika radhi kutokana usumbufu wa kuahirishwa Bunge kutokana hotuba yao.

CUF.

CUF wamewaomba radhi Chadema kupitia kwa kiongozi wao kuhusu matusi, kejeli na Kashfa walizomwambia Wenje. Wenje alisoma kwa niaba ya Chadema, siyo hotuba binafsi. Matusi dhidi ya wenje ni matusi dhidi ya kambi nzima ya Chadema.
Pili, Cuf walichana hotuba ya chadema bungeni.
Tatu, CUF walifanya vurugu zilizosababisha Bunge kuahirishwa.
aamlishwa kumuomba radhi naibu spika kwa kosa la Wenje kumdhalau naibu spika,na pia anatakiwa kuomba radhi bunge lote.


My take.
wote wamefanya jambo jema.
huelewi exactly ulichokiandika.pole sana...umeamua kujitekenya na kujichekesha
 
Kufuatia msimamo wa Wenje kukataa kufuta kauli yake jana, baada ya kuhituhumu CUF kuwa ina hafiki masuala ya kishoga na usagaji kutokana na kuwa mwanachama wa jumuiya ya kiliberali, leo CHADEMA imekiri kuwa imekidhalilisha chama hicho na imeomba radhi.

My take;

CHADEMA imekusudia kupeleka siasa za maji taka bungeni, na hili lina dhihirishwa na hotuba kadhaa zilizo somwa na wabunge wa CHADEMA.

Tukija kuangalia uhalisia wa CUF kuwa mjumbe wa Liberal, ni kama vile Tanzania kuwa nchi mwanachama wa jumuiya ya madola, jumuiya ya madola ina zitambua haki za mashoga na usagaji, je, Tanzania tuna zitambua?

Ni akili finyu ya viongozi wa kambi ya upinzani ikiongozwa na CHADEMA kwa kushindwa kwake kuchambua mambo madogo madogo kama haya, na kupelekea vurugu zisizo na lazima bungeni, na kulitia taifa hasara.

Nakiri kusema CHADEMA ni janga la bunge,janga la siasa na ni janga la taifa.

Jumuia ya madola si IDEOLOGY. Tatizo lenu wengine mmeingia kichwa kichwa, unaingia katika siasa hujui ni za MRENGO upi!
 
Huku mitaani cuf wanataniwaje! WAZEE WA LIBERAL! Lakini hata wakiombana radhi MESEJI SENT..
WATETEZI WA MASHOGA..
Alafu watu wamemkopi yule mbunge wa CUF alivyokuwa anaongea.. eti wanauliza ni WAKIKE AU WA KIUME? Huku kijijini kwetu hakuna Tv
 
CUF anasusa?CUF wanataka waambie ni warembo...CUF wanamtandika Wenje kwa maneno?CUF watoto wa pwani...samaki lazima......upande wa pili.

Hayo ndio mambo ya pwani ya Africa mashaririki kuanzia lamu hadi Mafia.Maudhui ya nyimbo zao, mazungumzo ya kawaida, na miduara...utetezi wa CUF unaonekana.
 
Kufuatia msimamo wa Wenje kukataa kufuta kauli yake jana, baada ya kuhituhumu CUF kuwa ina hafiki masuala ya kishoga na usagaji kutokana na kuwa mwanachama wa jumuiya ya kiliberali, leo CHADEMA imekiri kuwa imekidhalilisha chama hicho na imeomba radhi.

My take;

CHADEMA imekusudia kupeleka siasa za maji taka bungeni, na hili lina dhihirishwa na hotuba kadhaa zilizo somwa na wabunge wa CHADEMA.

Tukija kuangalia uhalisia wa CUF kuwa mjumbe wa Liberal, ni kama vile Tanzania kuwa nchi mwanachama wa jumuiya ya madola, jumuiya ya madola ina zitambua haki za mashoga na usagaji, je, Tanzania tuna zitambua?

Ni akili finyu ya viongozi wa kambi ya upinzani ikiongozwa na CHADEMA kwa kushindwa kwake kuchambua mambo madogo madogo kama haya, na kupelekea vurugu zisizo na lazima bungeni, na kulitia taifa hasara.

Nakiri kusema CHADEMA ni janga la bunge,janga la siasa na ni janga la taifa.
Mbowe amesema kwa umakini kabisa kwamba wanaomba radhi kwa sababu tu ya kujenga masikilizano. Lakini hawaombi radhi kwa sababu walisema uongo. Lakini akasisitiza zaidi kwamba iwe ni ukweli au uongo, wanatakiwa kuomba radhi kwakuwa CUF wamekwazika na hoja yao. So usiwalishe maneno CHADEMA kwamba wamekubali kuwa waliwadhalilisha CUF. Hawajakubali, bali wamekubali kuomba radhi kwakuwa CUF wameumizwa na ukweli uliowasilishwa na CHADEMA.

Kwenye hotuba yao, CHADEMA wametoa ushahidi kabisa wa kipengele ambacho kinaonyesha kuwa CUF walitoa tangazo la kuzitambua haki za mashoga na wasagaji. Soma nukuu hii kutoka gazeti la mwananchi:
"Hii ni kwa mujibu wa tangazo lao (CUF) kwenye mtandao wao wa umoja wa maliberali ulimwenguni, likiungwa mkono na Waziri wa Haki na Usawa wa Uingereza, Lynn Featherstone kutoka chama cha Liberal Democrats wakati chama hicho kilipokuwa kinapitisha azimio la kuruhusu ndoa za jinsia moja kama haki ya mtu mmoja mmoja.
 
Sasa hivi hawa mashoga na wasagaji wakimbilie wapi? Maana CUF ndiyo ilikuwa tegemeo lao maana huko kuna haki sawa kwa wote.
 
Back
Top Bottom