CHADEMA na CUF walazimika kuomba msamaha Bungeni

Kufuatia msimamo wa Wenje kukataa kufuta kauli yake jana, baada ya kuhituhumu CUF kuwa ina hafiki masuala ya kishoga na usagaji kutokana na kuwa mwanachama wa jumuiya ya kiliberali, leo CHADEMA imekiri kuwa imekidhalilisha chama hicho na imeomba radhi.

My take;

CHADEMA imekusudia kupeleka siasa za maji taka bungeni, na hili lina dhihirishwa na hotuba kadhaa zilizo somwa na wabunge wa CHADEMA.

Tukija kuangalia uhalisia wa CUF kuwa mjumbe wa Liberal, ni kama vile Tanzania kuwa nchi mwanachama wa jumuiya ya madola, jumuiya ya madola ina zitambua haki za mashoga na usagaji, je, Tanzania tuna zitambua?

Ni akili finyu ya viongozi wa kambi ya upinzani ikiongozwa na CHADEMA kwa kushindwa kwake kuchambua mambo madogo madogo kama haya, na kupelekea vurugu zisizo na lazima bungeni, na kulitia taifa hasara.

Nakiri kusema CHADEMA ni janga la bunge,janga la siasa na ni janga la taifa.



CUF dalili ya kuwa wanasupport Liberal na ushoga lipo wazi

8D6U9904.JPG
 
Chadema kifute kwa kuidhalilisha Cuf. Kuizushia uongo!!!
 
Kwa lililofanyika sioni kama kuna mshindi na mshindwa, nawapungeza wote kwa kuruhusu hekima na busara vichukue nafasi badala ya umaarufu wa kivyama.
 
Mbowe kasimama kuiwakilisha CHADEMA ili kuomba msamaa.

Ni bora aombe msamaa.Jana (30.05.2013) niliona ni siku mbaya sana kwa ustawi wa vyama vya upinzani Tanzania. Kugombana wao kwa wao(CUF vs CDM) or na vyama vingine ya upinzani sio habari njema kwa ustawi wao na agenda yao ya kuondoa CCM madarakani. Hii hoja ya nani shoga/msagaji hamsaidii mtanzania aliyefukarishwa na CCM na serikali yake.
 
Ni bora aombe msamaa.Jana (30.05.2013) niliona ni siku mbaya sana kwa ustawi wa vyama vya upinzani Tanzania. Kugombana wao kwa wao(CUF vs CDM) or na vyama vingine ya upinzani sio habari njema kwa ustawi wao na agenda yao ya kuondoa CCM madarakani. Hii hoja ya nani shoga/msagaji hamsaidii mtanzania aliyefukarishwa na CCM na serikali yake.

HIvi CUF ni chama cha upinzani hapa Tanzania au mimi ndio sielewi maana ya kuwa Chama cha Upinzani? Napita tu
 
bado sijaona sababu ya msingi ya kumuomba naibu spika msamaha,kwani hotuba ilisomwa kwa umakini na ikagusa ukweli ambao hautakiwi, ingetakiwa kabl ya kiti cha spika kutaka kuombwa radhi wakasome maana ya siasa za kiliberali LI-maudhui yake na nia yao ya pamoja kwa mwanachama yeyote wa LI-ikiwepo CUF

Sasa ni bifu zito.

Mjadala unaendelea bungeni kwa sasa!!

CHADEMA.
1.Sasa yale maneno ya kuhudhi pg7-9 kuondolewa.
2.Sasa CHADEMA waamliwa kuomba radhi.
3.Mbowe aamlishwa kumuomba radhi naibu spika kwa kosa la Wenje kumdhalau naibu spika,na pia anatakiwa kuomba radhi bunge lote.

CUF:
Nao waambiwa wawaombe radhi CHADEMA kwa kuchanana hotuba yao. Pia wote waamliwa kumuomba radhi naibu spika kwa kufanya vurugu bungeni jana.
 
Ni lini jumuiya ya madola imepitisha azimio la kutambua haki za mashoga? Nchi chache zilizopo humo ndio zinatambua hivyo, na jumuiya kama entity haijawahi kupitisha hiyo resolution, nenda huko na uongo wako.
Kufuatia msimamo wa Wenje kukataa kufuta kauli yake jana, baada ya kuhituhumu CUF kuwa ina hafiki masuala ya kishoga na usagaji kutokana na kuwa mwanachama wa jumuiya ya kiliberali, leo CHADEMA imekiri kuwa imekidhalilisha chama hicho na imeomba radhi.

My take;

CHADEMA imekusudia kupeleka siasa za maji taka bungeni, na hili lina dhihirishwa na hotuba kadhaa zilizo somwa na wabunge wa CHADEMA.

Tukija kuangalia uhalisia wa CUF kuwa mjumbe wa Liberal, ni kama vile Tanzania kuwa nchi mwanachama wa jumuiya ya madola, jumuiya ya madola ina zitambua haki za mashoga na usagaji, je, Tanzania tuna zitambua?

Ni akili finyu ya viongozi wa kambi ya upinzani ikiongozwa na CHADEMA kwa kushindwa kwake kuchambua mambo madogo madogo kama haya, na kupelekea vurugu zisizo na lazima bungeni, na kulitia taifa hasara.

Nakiri kusema CHADEMA ni janga la bunge,janga la siasa na ni janga la taifa.
 
Kufuatia msimamo wa Wenje kukataa kufuta kauli yake jana, baada ya kuhituhumu CUF kuwa ina hafiki masuala ya kishoga na usagaji kutokana na kuwa mwanachama wa jumuiya ya kiliberali, leo CHADEMA imekiri kuwa imekidhalilisha chama hicho na imeomba radhi.

My take;

CHADEMA imekusudia kupeleka siasa za maji taka bungeni, na hili lina dhihirishwa na hotuba kadhaa zilizo somwa na wabunge wa CHADEMA.

Tukija kuangalia uhalisia wa CUF kuwa mjumbe wa Liberal, ni kama vile Tanzania kuwa pole yako ewe mja wa binadamu mwenzio na cyo wa mungu, laiti ungejua wala ucngesema hayo. nakuuliza kati ya ccm na chadema nani janga la taifa? shame on u!
 
Ni bora aombe msamaa.Jana (30.05.2013) niliona ni siku mbaya sana kwa ustawi wa vyama vya upinzani Tanzania. Kugombana wao kwa wao(CUF vs CDM) or na vyama vingine ya upinzani sio habari njema kwa ustawi wao na agenda yao ya kuondoa CCM madarakani. Hii hoja ya nani shoga/msagaji hamsaidii mtanzania aliyefukarishwa na CCM na serikali yake.

Kama kweli hoja ya kusapoti ushoga haimsaidii mtanzania, mbona Kameruni mlimjia juu? Halafu ajenda ya CUF si kuutoa CCM madarakani kwa mujibu wa kauli ya mwenyekiti wake kwenye msikiti wa idrisa
 
Kufuatia msimamo wa Wenje kukataa kufuta kauli yake jana, baada ya kuhituhumu CUF kuwa ina hafiki masuala ya kishoga na usagaji kutokana na kuwa mwanachama wa jumuiya ya kiliberali, leo CHADEMA imekiri kuwa imekidhalilisha chama hicho na imeomba radhi.

My take;

CHADEMA imekusudia kupeleka siasa za maji taka bungeni, na hili lina dhihirishwa na hotuba kadhaa zilizo somwa na wabunge wa CHADEMA.

Tukija kuangalia uhalisia wa CUF kuwa mjumbe wa Liberal, ni kama vile Tanzania kuwa nchi mwanachama wa jumuiya ya madola, jumuiya ya madola ina zitambua haki za mashoga na usagaji, je, Tanzania tuna zitambua?

Ni akili finyu ya viongozi wa kambi ya upinzani ikiongozwa na CHADEMA kwa kushindwa kwake kuchambua mambo madogo madogo kama haya, na kupelekea vurugu zisizo na lazima bungeni, na kulitia taifa hasara.

Nakiri kusema CHADEMA ni janga la bunge,janga la siasa na ni janga la taifa.

Ujumbe umefika. Maliberal mpo? Hongereni saaaana kwa kushikishwa ukuta.
 
Acha mawazo mgando..concept huijui.mvuta bangi rafiki yake hawezi kuwa mnywa pombe atakua mla nyasi mwenzie..urafiki ni aggrement kati ya watu wawil wenye same interest..hivyo maliberali lao moja...iwee mupe
 
ujumbe umewafikia wote, ila bora wabunge wangekunguziwa na wao vikao, ili muda mwingi wawe karibu kwa wananchi.
 
Khaa!!! Kunguru anatazama panzi wawili wajinga wakipigana, Anyway sasa wabunge wawe kama madereva wapimwe kileo kilichopo mwilini kabla ya kuanza bunge. :mvutaji::mvutaji:
 
Wote wanaombana radhi, CHADEMA waombe radhi kwa Wenje kutotii amri ya Naibu Spika na CUF waombe radhi kwa kufanya fujo na kuchana hotuba ya msemaji wa kambi ya upinzani.

Na pia unakiri kwamba CUF ni chama cha Kiliberali. Na we we binafsi ni Mliberali.
 
Back
Top Bottom