Leo wanafanya mkutano wa hadhara Mecco kaskazini pamoja na uzinduzi wa ofisi, hii ni kwa mjibu wa matangazo yanayoendelea kutangazwa muda huu. Eneo utakapofanyikia ni katika viwanja vya majanini kuanzia saa 8:30 mchana. Madiwani wa chadema watakuwapo pamoja na meya wa jiji la Mwanza ndugu Manyerere. Nawasilisha
The unseen is illustrated by the seen.
The unseen is illustrated by the seen.