Baada ya CHADEMA kutangaza maandamano Jan 24, Mh RC Chalamila nae ametangaza kuwa siku ya tarehe 23 na 24 Januari kuwa siku za usafi utakaofanya na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Mimi nasema hivyo ni vitisho tu, kanyagieni hapo hapo msinyanyue mguu tupo pamoja na ninyi, maana hata sisi tumechoka kuona yanayoendelea ndani ya Nchi yetu. Na sisi tunahitaji ujumbe uwafikie watawala.
Mkiona ngoma itakuwa ngumu badilisheni mbinu ya maandamano, ikiwezekana muagize kila Kata ifanye maandamano katika eneo lao, viongozi wa CHADEMA wa Kitaifa, kanda mbali mbali, na majibo kitaifa waje wagawanywe waongeze nguvu kwenye kila kata tuone kama hayo maandamano hayatafanyika na kufanikiwa kufikisha ujumbe uliokusudiwa.
Nasema tena msitishwe na hivyo vitisho vya MH RC Chalamila aliyelewa madaraka na kutaka kutumia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vibaya, kwenye jambo la msingi kama hilo msihofu tupo pamoja.
Mimi nasema hivyo ni vitisho tu, kanyagieni hapo hapo msinyanyue mguu tupo pamoja na ninyi, maana hata sisi tumechoka kuona yanayoendelea ndani ya Nchi yetu. Na sisi tunahitaji ujumbe uwafikie watawala.
Mkiona ngoma itakuwa ngumu badilisheni mbinu ya maandamano, ikiwezekana muagize kila Kata ifanye maandamano katika eneo lao, viongozi wa CHADEMA wa Kitaifa, kanda mbali mbali, na majibo kitaifa waje wagawanywe waongeze nguvu kwenye kila kata tuone kama hayo maandamano hayatafanyika na kufanikiwa kufikisha ujumbe uliokusudiwa.
Nasema tena msitishwe na hivyo vitisho vya MH RC Chalamila aliyelewa madaraka na kutaka kutumia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vibaya, kwenye jambo la msingi kama hilo msihofu tupo pamoja.