Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa, amesema uongozi utawachukulia hatua kali za kinidhamu madiwani watatu wa chama hicho mkoani Arusha, wanaotuhumiwa kukisaliti kwenye hoja ya kumtambua Meya wa Arusha, Gaudence Lyimo.
Madiwani hao ni Diwani wa Kata ya Sekei, Chrispine Tarimo. Diwani wa Kata ya Engutoto, Elbariki Malley na Diwani wa Viti Maalumu, Rehema Mohammed, wote kwa pamoja wanachungunzwa kwa madai tofauti ya usaliti ndani ya chama hicho kuhusu kumtambua Meya wa Arusha.
Akizumgumza mwishoni mwa wiki iliyopita, kwenye viwanja vya Mahakama kuu kanda ya Arusha. Dk Slaa alisema madiwani hao watashughulikiwa.
SOURCE: MWANACHI MEI 3, 2011
Madiwani hao ni Diwani wa Kata ya Sekei, Chrispine Tarimo. Diwani wa Kata ya Engutoto, Elbariki Malley na Diwani wa Viti Maalumu, Rehema Mohammed, wote kwa pamoja wanachungunzwa kwa madai tofauti ya usaliti ndani ya chama hicho kuhusu kumtambua Meya wa Arusha.
Akizumgumza mwishoni mwa wiki iliyopita, kwenye viwanja vya Mahakama kuu kanda ya Arusha. Dk Slaa alisema madiwani hao watashughulikiwa.
SOURCE: MWANACHI MEI 3, 2011