Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,428
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , chama cha siasa kinachotajwa kuungwa mkono na Idadi kubwa ya wananchi kuliko Chama chochote nchini Tanzania , jumapili 17/12/2023 , kitaongea na Waandishi wa Habari wa ndani na nje ya Nchi .
Mahali ni pale pale kwenye Makao Makuu ya Chama hicho nje ya Jiji la D'Salaam , huko Kinondoni Mtaa wa Ufipa .
Taarifa yao hii hapa
Mahali ni pale pale kwenye Makao Makuu ya Chama hicho nje ya Jiji la D'Salaam , huko Kinondoni Mtaa wa Ufipa .
Taarifa yao hii hapa