Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,899
Heche avuta umati.
Chadema imepiga hodi Sumbawanga jana na kuanza kambi rasmi ya kutetea jimbo lililochukuliwa kwa mizengwa na CCM kisha kunyang'anywa na mhimili wa Mahakama nchini. Jimbo liko wazi na Chadema imeshapuliza filimbi ya kuamsha kasi ya wimbi la mageuzi huko Sumbawanga lengo likiwemo kulichukua jimbo uchaguzi mdogo ujao.
Wahudhuriaji jana Sumbawangu walivyofunika mbaya kuonyesha matumaini mapya kuwajaa mioyoni mwao.
Mwl.Yamsebo aliyekuwa mgombea wa CHADEMA uchaguzi mkuu uliopita
Moto huu hadi kieleweke, umati huu si wa kawaida, "ee ndita mkwai, yapola yonsi, yaposile tataitu."