chadema ndo chama wengine ni magenge tu....chek inavyojaza watu bila kuwa na lori wala costa huyo ni heche tu...wangekuja wakina slaa mnyika zitto na mbowe na lisu aaaah na sugu aah na na nakadhalika ingekuwaje..?
Yaani hapo ccm wanaenda n hela nyingi sana maana wanajua kuanguka kupo tena sana ushauri kuleni hela zao na wali kura msiwape maana watatafuta kil njia kulipa hela zao na wali wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.