Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 47
Pamoja na Mambo mazito ambayo yanaendelea kuikumba nchi yetu nashauri sasa ni
mda muafaka wa kuandaa mpango mkakati wa kueleka 2015, Tunahitaji Chama Makini,
kilicho na watu makini kuweza kuinusuru hii nchi.
Me Nashauri tuanze hivi,
Moja:
Chadema tuandae compaign ya nguvu ya kusajili wanachama, nadhani sasa tuna
washabiki wengi, ni vyema sasa tufanye usajili, Kadi zitolewe kwa wingi,
tunaweza hata panga a week for this activity, tujue Tanzania nzima kama chama
tuna wanachama wangapi. Swala hili linaweza andaliwa kwa nchi nzima, tukawa na
week moja specific kwa ajili ya udahili wa wanachama
Pili:
katika majimbo yetu ambayo tumeshinda naomba tuanzishe compaign ambayo itakuwa
Jamii Shirikishi, Mfano jimbo la Ubungo tunaweza angalia kero nyingi za wananchi
then tukaziwekea mkakati, Mfano Swala la Usafi, Miundombinu ya Barabara na Maji,
na kero ya FOLENI (traffic Jam). Mbunge anaweza andaa plan wananchi wakaanda
siku moja lets says SIKU YA USAFI UBUNGO, Tunaweza pia kufanya consultations na
kuomba sponser kwa baadhi ya makampuni na wadau, hii inakuwa siku moja specific,
wananchi wote wa ubungo wanajitokeza kufanya usafi wa JIMBO lao, me nadhani hii
itakuwa na impact kubwa sana, Nguvu kazi ipo, na wananchi wanakerwa sana na
matatizo haya ambayo yako ndani ya uwezo wao, they just need mobilization
Hata barabara za Kimara, Mbezi ect zinaweza kutengenezeka kwa nguvu ya Wananchi,
Kiasi cha kupata Greda la manispaa then wananchi tutachanga mafuta tuchonge
barabara zetu.
Nina Imanai kwa kufanya haya Majimbo yote yaliyo china ya Chadema yatakuwa
mfano, then 2015 mambo fresh, Naomba wengine tuchangie mikakati inayoweza
kutumika pls
Thanks
mda muafaka wa kuandaa mpango mkakati wa kueleka 2015, Tunahitaji Chama Makini,
kilicho na watu makini kuweza kuinusuru hii nchi.
Me Nashauri tuanze hivi,
Moja:
Chadema tuandae compaign ya nguvu ya kusajili wanachama, nadhani sasa tuna
washabiki wengi, ni vyema sasa tufanye usajili, Kadi zitolewe kwa wingi,
tunaweza hata panga a week for this activity, tujue Tanzania nzima kama chama
tuna wanachama wangapi. Swala hili linaweza andaliwa kwa nchi nzima, tukawa na
week moja specific kwa ajili ya udahili wa wanachama
Pili:
katika majimbo yetu ambayo tumeshinda naomba tuanzishe compaign ambayo itakuwa
Jamii Shirikishi, Mfano jimbo la Ubungo tunaweza angalia kero nyingi za wananchi
then tukaziwekea mkakati, Mfano Swala la Usafi, Miundombinu ya Barabara na Maji,
na kero ya FOLENI (traffic Jam). Mbunge anaweza andaa plan wananchi wakaanda
siku moja lets says SIKU YA USAFI UBUNGO, Tunaweza pia kufanya consultations na
kuomba sponser kwa baadhi ya makampuni na wadau, hii inakuwa siku moja specific,
wananchi wote wa ubungo wanajitokeza kufanya usafi wa JIMBO lao, me nadhani hii
itakuwa na impact kubwa sana, Nguvu kazi ipo, na wananchi wanakerwa sana na
matatizo haya ambayo yako ndani ya uwezo wao, they just need mobilization
Hata barabara za Kimara, Mbezi ect zinaweza kutengenezeka kwa nguvu ya Wananchi,
Kiasi cha kupata Greda la manispaa then wananchi tutachanga mafuta tuchonge
barabara zetu.
Nina Imanai kwa kufanya haya Majimbo yote yaliyo china ya Chadema yatakuwa
mfano, then 2015 mambo fresh, Naomba wengine tuchangie mikakati inayoweza
kutumika pls
Thanks