Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,193
- 13,738
Unaikumbuka Hotuba ya M/Kiti wa CDM baada tu ya msiba pia?Unaikumbuka ile kauri ya mzee Yusufu Makamba kwa wazuri hawafi! Sasa happy nani alifurahia kifo cha Magufuri?
Unaikumbuka Hotuba ya M/Kiti wa CDM baada tu ya msiba pia?Unaikumbuka ile kauri ya mzee Yusufu Makamba kwa wazuri hawafi! Sasa happy nani alifurahia kifo cha Magufuri?
Magufuli' siyo Mwanza wala wakazi wa Mwanza hawajashikiwa akili kama wewe. Tumia akili mara ingine.Chadema hawajielewi wanakuja Mwanza ,huku wakijua walishangilia kifo cha Magufuli. Wataambulia aibu
Nategemea huu ufafanuzi utautoa pia kwenye viwanja vya Furahisha.Wasukuma watakuwepo kukusikiliza kwa makini ukimpiga Spana JPM.Tatizo la wanaharakati wa CDM wengi wenu mnaishiaga kutoa povu hapa JF,wanaokwenda Field kina Mnyika naamini wanatusoma vizuri sana na wanajiandaa kujibu hiki tunachokihoji kwa manufaa ya ukuaji wa Chama chenu.
Uzuri wewe povu lako ni la hapa hapa,huna madhara yoyote.Vigogo wa CDM wanalijua hili ndiyo maana wakachagua Mwanza kwanza,hii hoja itajibiwa na wao na siyo wewe.Yaani Mnyika atakujibu huu upuuzi unaosikia huku mitandaoni? Jibu lake litakuwa rahisi tu. Kajibiwe huko ulikosikia maneno hayo. Na majibu yake tumeshakupa. Sasa sijui unamtishia nani.
Yaani kama ccm mnaojifanya wasukuma mlikuwa mmekaa mahali mnajijaza upepo, siku hiyo mtafurahia show.
Wazee wa TAKWIMU haya Tuambie na Huyu anakubalika zaidi wapi?Nilitegemea Mkutano wa kwanza wa hadhara wa Chadema ungefanyika katika Moja ya mikoa ya Nyanda za Juu Kusini yaani Iringa, Mbeya, Njombe, Songwe au Rukwa.
Lakini kwa mshangao Viongozi wakuu wameamua kwenda Mwanza kwenye ngome ya Shujaa.
Naona magari yanapigwa rangi na kufanyiwa service za nguvu tayari kwa safari ya JNIA to Mwanza
Ngoja tuone!
Magufuli Maccm yanashangilia zaidi kwani waliosema Nchi Shwari au WAZURI HAWAFI ni chadema?Chadema hawajielewi wanakuja Mwanza ,huku wakijua walishangilia kifo cha Magufuli. Wataambulia aibu
Simba SCWazee wa TAKWIMU haya Tuambie na Huyu anakubalika zaidi wapi?View attachment 2484682
Wewe.!! Hebu tumia akili angalau kidogo tu..!! Sasa kama huko nyanda za juu kusini wanakubalika, maana yake, kwa upande huo wameshamaliza kazi..!! Siku zote unakitafuta kile usichokuwa nacho..!! kama bado hawakubaliki Mwanza, basi ni sawa wao kuwepo huko na hatimaye waongeze maeneo wanayokubalika..!!Nilitegemea Mkutano wa kwanza wa hadhara wa Chadema ungefanyika katika Moja ya mikoa ya Nyanda za Juu Kusini yaani Iringa, Mbeya, Njombe, Songwe au Rukwa.
Lakini kwa mshangao Viongozi wakuu wameamua kwenda Mwanza kwenye ngome ya Shujaa.
Naona magari yanapigwa rangi na kufanyiwa service za nguvu tayari kwa safari ya JNIA to Mwanza
Ngoja tuone!
Uzuri wewe povu lako ni la hapa hapa,huna madhara yoyote.Vigogo wa CDM wanalijua hili ndiyo maana wakachagua Mwanza kwanza,hii hoja itajibiwa na wao na siyo wewe.
Kwanii..!! unahitaji majibu, au mtoa majibu?Uzuri wewe povu lako ni la hapa hapa,huna madhara yoyote.Vigogo wa CDM wanalijua hili ndiyo maana wakachagua Mwanza kwanza,hii hoja itajibiwa na wao na siyo wewe.
Nilitegemea Mkutano wa kwanza wa hadhara wa Chadema ungefanyika katika Moja ya mikoa ya Nyanda za Juu Kusini yaani Iringa, Mbeya, Njombe, Songwe au Rukwa.
Lakini kwa mshangao Viongozi wakuu wameamua kwenda Mwanza kwenye ngome ya Shujaa.
Naona magari yanapigwa rangi na kufanyiwa service za nguvu tayari kwa safari ya JNIA to Mwanza
Ngoja tuone!
Chadema hawajielewi wanakuja Mwanza ,huku wakijua walishangilia kifo cha Magufuli. Wataambulia aibu
Unaongelea mwanza ipi? Tumejiandaa kwa mapokezi ya kutisha na jjiji litazizima. Binafsi nitakuwepo Furahisha siku hiyo
Wewe tuishie hapa.Sasa ww ulipokuja huku na mikwara kwanini hilo povu usipeleke huko huko uwanjani ambako mihemko yako unatarajia kuipeleka? Wamechagua Mwanza kutokana na utashi, na sio kuja kujibu huu utoto wako
Vyote au kimojawapo Mkuu,lakini muhimu sana ningependa kupata majibuKwanii..!! unahitaji majibu, au mtoa majibu?
Tutawanyoa kwenye sanduku la kura mpaka mkome
Acha uongo,Mbeya na Songwe tuu labdaKaangalie kura za ubunge nyanda za juu ndipo utajua pamoja na ule ujinga CHADEMA wangezoa viti vingi Nyanda za Juu
Kama ungependa kupata majibu, usingesema kwamba majibu ya hoja yako watakuja nayo vigogo wa CDMVyote au kimojawapo Mkuu,lakini muhimu sana ningependa kupata majibu
Vyote au kimojawapo Mkuu,lakini muhimu sana ningependa kupata majibu
Mwamba, hata kama walishangilia, kwani adui yako si unamwombea njaa..!!???Lini CHADEMA Kama Chama kilishangilia kifo Cha Magufuli.