CHADEMA inaendeshwa "kimagumashi"...

Hukujua kama hayo yote yatatokea???? Hakuna hata mmoja mwenye uchungu na nchi. Wanasema kwa midomo, wakati mioyoni ni mbwa mwitu wakali. Ulitegemea kama mbunge machachali kwa kutetea umma, leo hii angekula rushwa?????? wacha bana, hakuna mwenye uchungu na nchi hata mmoja, wote wana tetea matumbo yao tu.
 
Ukweli husemwa:

hongera sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah, wengine huwa wanaenda huko kufanya dili la kuibia nchi, hivi unadhani hatukuoni jinsi ulivyo na hofu kuhusu CDM, mimi sijali nani atakuwa mtawala wa kesho, ninachojua ni kuwa nchi kamwe haitapata rais ambaye ni MGANDA, MRUNDI, MKENYA, MDRC,NK; daima atakuwa ni MTANZANIA bila kujali chama, fikiria kupata mtu bora sio chama bora.

kama ingekuwa ni chama hapa BONGO kuna chama kina sera nzuri kuliko maelezo, njoo kwenye utekelezaji babaaaaaaaa heeeeee!!!!!!!!!!!!!! yaani weee achaaaaaaaaa tu!

Hapo umenena. Tanzania hatuna vyama hasa vya kisiasa lakini natumaini tuna watu bora wa kuiongoza nchi yetu. I don't care, anatoka chama gani cha siasa au ni mgombea wa kujitegemea. Ninataka kiongozi makini mwenye uwezo wa kupambana na vizingiti na misukosuko ya kisiasa, kiuchumi na kijamii ndani na nje ya nchi.

Kwa nini watu wanapiga filimbi ya vyama wakati katiba mpya ijayo inaweza ikawa na kipengele cha mgombea binafsi. hata kama haitakuwa hivyo. Tutamchagua mtu kutokana na uwezo wake siyo ilani ya chama. afterall, what point of having ilani ya chama wakati hata nchi haijitoshelezi kimapato.

Ndiyo hayo ya Kikwete na CCM wanaahidi kwenye ilani yao lakini hawajui hata pesa itatoka wapi.

Kwa sasa kilichobaki ni safari na bakuli kila kukicha kwenda kuomba pesa nje angalau ili kutimiza yale waliyotuahidi.

We don't need this again.
 
Hivi karibuni umeibuka mtindo wa CHADEMA kufungua matawi nje ya nchi. Tumesikia mgombea Urais mtarajiwa mh. Zitto Kabwe akishirikiana na mbunge wa Tanzania anayeishi Marekani mh. Leticia Nyerere wakifungua tawi Washington DC. Tawi hili la Washington DC baadae tuliona limepewa zawadi ya gari na mwanachama mkereketwa! Leo kumekuwa na taarifa ya aliyevuliwa ubunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kuwa Uingereza kwa ajili ya ufunguzi wa matawi saba ya CHADEMA.....


Umekosoa sawa,mbona hauna pendekezo/sahisho?,tunamashaka sana na wewe kuhusu uelewa wako
 
Sasa chama gani cha siasa Tanzania hii hakina magumashi? Kwani uchaguzi mkuu wa chama mwaka huu, utaendeshwa na fedha kutoka katika mfuko gani?
 
nitake radhi mkuu sjawah kuwa ccm wala cdm na siyo shabiki wa mipasho yenu kama waimba taarabu siku hizi tumeamka kiakili hatuangalii eti chama cha nyerere wala chama cha wasema sana tunataka sera. ndio maana nasema hata SAU na NRA nitawapigia kura. ninyi mmekuwa mnaboa sana kila siku lazima mje na vijembe badala ya kunadi sera na kufanya kwa vitendo yale ambayo tunayataka.

kama siyo mchapa kazi hata iweje hatukupi kura uwe unatoka cdm ama ccm and 2015 you will leave to see manake ni bora hata amgombea binafsi akasimama anaweza kuwa muwajibikajiaa mzuri tofauti na hawa wenye wafuasi.

umeamka na nani...?

wangapi wameboeka........?

acha porojo...............
 
Sasa chama gani cha siasa Tanzania hii hakina magumashi? Kwani uchaguzi mkuu wa chama mwaka huu, utaendeshwa na fedha kutoka katika mfuko gani?

Kwa hiyo magumashi ni utaratibu ramsi wa vyama vyote vya siasa Tanzania?!!!
 
Kwa hiyo magumashi ni utaratibu ramsi wa vyama vyote vya siasa Tanzania?!!!

That is something to ponder. We are well wishers and one of the things that will help this country alot is to fight corruption. Kama magumashi yakipungua kwenye vyama vya siasa hata rushwa nayo itapungua. Inakuwa ngumu kupambana na wala rushwa kama wao ndio wafadhili wa vyama vya siasa na wana siasa wenyewe.
 
That is something to ponder. We are well wishers and one of the things that will help this country alot is to fight corruption. Kama magumashi yakipungua kwenye vyama vya siasa hata rushwa nayo itapungua. Inakuwa ngumu kupambana na wala rushwa kama wao ndio wafadhili wa vyama vya siasa na wana siasa wenyewe.

Well said, thanks...
 
Katiba ya chama haisomwi kipengele kimoja pekee bali vyote ndipo ufanye hitimisho. pILI kumbuka katiba hiyo huanzisha vyombo na kuvipa mamlaka MBALIMbali , je umesoma mamlaka zake.

CDM ina watu waliobobea katika sheria haiwezekani suala hili likafanyika bila kuwa na kipengele katika katiba kinachoruhus hilo.

nina mashaka kama una katiba ya cdm unayo ya zamani, ebu waombe wakupatie nakala halisi inayotumika sasa hivi, uilete jamvini, tuidownload kisha tuisome na kukujibu kama wadau wengine wapenda maendeleo

no research no right to speak
 
Katiba ya chama haisomwi kipengele kimoja pekee bali vyote ndipo ufanye hitimisho. pILI kumbuka katiba hiyo huanzisha vyombo na kuvipa mamlaka MBALIMbali , je umesoma mamlaka zake.

CDM ina watu waliobobea katika sheria haiwezekani suala hili likafanyika bila kuwa na kipengele katika katiba kinachoruhus hilo.

nina mashaka kama una katiba ya cdm unayo ya zamani, ebu waombe wakupatie nakala halisi inayotumika sasa hivi, uilete jamvini, tuidownload kisha tuisome na kukujibu kama wadau wengine wapenda maendeleo

no research no right to speak

Una kipengele unachojua kimeruhusu au unatumia nadharia tu? Ongea kwa evidence...
 

Thanks King of Kings, umefanya kichwa changu nikihamishie kwenye kufikiria mambo mengine muhimu kuliko ko-comment kwa huyu bwn.
 
Una kipengele unachojua kimeruhusu au unatumia nadharia tu? Ongea kwa evidence...

mm huwa nashiriki ktk kuandaa katiba za vyama na makampuni, ninajua huwa inawekwa open handed clause ili kujumuisha masuala ambayo hayakutajwa moja kwa moja ktk Katiba. kipengele hicho huwezesha kampuni/chama kufanya jambo lolote hata kama halijatajwa katika katiba ilimradi tu jambo hilo lina lengo la kuleta faida kwa chama/kampuni husika. Hivyo ninachosema nina uhakika nacho ndio maana nimeomba u-attach katiba ya sasa ya cdm ili tuipitie tuone endapo haina vipengele/kipengele cha jinsi hiyo. mm ninayekuleza ni mtaalamu katika masuala haya ndiyo maana nimeomba nakala ya katiba nikijua nikiiipata nitafungua eneo gani ambalo huwa tunaweka katika uandishi wa katiba.

natumai nimeeleweka vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom