bado sio kwamba ccm imeweza kuwaondoa, kwa sasa bado haijafanya loote la kutirudishia imani wnanchi,
hzo za akina nnauye na chiligati pamoja wilson mkama ni nguvu za soda ambazo hata JK alipoingia kwa kiti zilitufariji mno.
hapa tunataka vitendo ndo tukubalimabadiliko.
hzo za akina nnauye na chiligati pamoja wilson mkama ni nguvu za soda ambazo hata JK alipoingia kwa kiti zilitufariji mno.
hapa tunataka vitendo ndo tukubalimabadiliko.