Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,501
- 93,060
Slaa yeye mwenyewe fisadi. nendeni kwenye kamusi ya kiswahili tafuteni nini maana ya neno fisadi , utakuta imeandikwa ' ni mtu anae chukua wake za watu'
Huyu ameathirika na uwendawazimu wa Makamba, mwamsheni usingizini huenda anajuwa Makamba bado ni katibu mkuu wao huko chama cha magamba.