Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Chama Cha Demoktasia na maendeleo kimejikuta kikitetea mafisadi ambao CCM imetangaza kuwatosa! Chadema badala ya kubeza kwa miaka mingi kuwa CCM haina ubavu juu ya mafisadi hao sasa haiamini kile kinachotokea na badala yake wameanzisha mkakati wa kusema Mafisadi hao wana onewa! Pia wamekua wakisema siku zote CCM ilikua wapi kuwatimua! Lakini ikumbukwe kitendo cha Kikwete kwenda kuwa nadi watuhumiwa hao majimboni mwao Chadema ili pata agenda kwa mgombea wao wa Urais Dr Slaa kusema CCM inakumbatia mafisadi! Chadema kusema siku zote CCM ilikua wapi kuwatimua mafisadi wanatoa fursa ya kuwatetea mafisadi! Kwa hili nasimama upande wa CCM kuwaunga mkono kwa hatua hii ya kupambana na Ufisadi! Pia naona suala la Ufisadi iwe vita ya Utaifa na sio Chama kimoja cha siasa,naona Chadema ina hisi imenyang'anywa agenda ya Ufisadi na CCM! Leo gazeti la Tanzania daima linalo milikiwa na Mbowe nimeonesha taswira ya Chadema kuwatetea mafisadi hao kama CCM ina waonea! Hata JF nayo imegawanyika kwa baadhi ya wajumbe kubeza juhudi za CCM lakini kubwa ni chuki tu walio nayo kwa CCM bila kujali hatua hii mhimu ya kupambana na ufisadi. Na wengine wanasema CCM itagwanyika,jambo ambalo kwa utalaamu wa kisiasa kundi hili la akina lowassa,Rostam na Chenge lina nuka kwa jamii hivyo hawana ujanja wa kukubalika iwe kuanzisha chama au kuhamia vyama vingine!
My take: chadema iwe makini na jambo hili lasivyo itaonesha taswira ya yake kwa umma!
My take: chadema iwe makini na jambo hili lasivyo itaonesha taswira ya yake kwa umma!