Kadri adui zitto alivyoshindwa kutetea wananchi ktk mikataba ya madini na kushindwa kutaja wamiliki wa account za uswizi kutokana na umamluki wake ndivyo chama kinavyoimarika zaidi.....nafikiri mfa maji haachi kutapatapa km yona na wenzie walifukuzwa siku nyingi lkn wanajikomba....kwa kifupi hatuwataki nyie mamluki wa ccm.