Mimi naendelea kuutafuta ukweli kupitia wataalamu wanao jua kucheza na upandikizi wa maneno na picha bandia kuwa za ukweli.[/QUOTE]
Mkuu km video haitokua ya kuchonga basi Lwakatare amewazunguka CDM kwasababu ukimsikiliza kwa makini maongezi ni ya upande mmoja (yameandaliwa) kutoka kwa lwakatare (kama lecture), wakati yule jamaa mwingine alikua anachombeza vimaneno kurudia rudia yale yaliyosemwa na lwakatare. kwahiyo haionekani km ni mpango(majadiliano).
Kingine ni position ya kamera inaonekana ni fixed (haichezi) km vile ni kamera kubwa ambayo lwakatare anaiona na ipo karibu sana na Lwakatare km ingekua kamera ndogo ya kujificha isingeweza kupata picha ya ukubwa ule.
Kingine ni eneo ambalo mpango unafanyika linaonekana halina usiri wowote, hivi kwa hali ya kawaida inawezaka mpango mzito km huo ukapangwa eneo lenye watu wengi wenye shughuli tofauti?
Mkuu km video haitokua ya kuchonga basi Lwakatare amewazunguka CDM kwasababu ukimsikiliza kwa makini maongezi ni ya upande mmoja (yameandaliwa) kutoka kwa lwakatare (kama lecture), wakati yule jamaa mwingine alikua anachombeza vimaneno kurudia rudia yale yaliyosemwa na lwakatare. kwahiyo haionekani km ni mpango(majadiliano).
Kingine ni position ya kamera inaonekana ni fixed (haichezi) km vile ni kamera kubwa ambayo lwakatare anaiona na ipo karibu sana na Lwakatare km ingekua kamera ndogo ya kujificha isingeweza kupata picha ya ukubwa ule.
Kingine ni eneo ambalo mpango unafanyika linaonekana halina usiri wowote, hivi kwa hali ya kawaida inawezaka mpango mzito km huo ukapangwa eneo lenye watu wengi wenye shughuli tofauti?