Hongera dada unafaa kabisa kuwa wakwanza kuisaidia polisi ili kutegua kitendawili hiki.hii ngoma nzito sana kwa chadema sasa sijui nayo wataandamana na huyo jamaa anaeitikia hapo na kujibu maswali ya mchora mchoro wa utekaji nyara lwakatare ni jamaa mmoja hivi wa chadema anafahamika na hizo ndizo kazi zake jamaa huyo bwana L kama herufi yake ya mwanzo ya jina lake ilivyo aliwahi somea upadre ila ukamshinda akaacha naye hana pakukwepea katika hili maana kwa wanaomjua vizuri kama mimi hawatosita kumtambua kwamba ni YEYE{KIJANA L]
yatakushuka tu. Jipe muda mkuu. Hatutegemei kupata ukomboz kwa njia rahis. Hizi ni changamoto tu km za kadi 2, kukopa mil120 na nyingne nying tunazisubiria but mwisho wa siku ni ukomboz wa hii nchi.
viva cdm
Tatizo sio Kova bali ni Watendaji wetu walio wengi wanapenda kufanya mambo kwa kujipendekeza kwa watawala!! Hawa, wanazani kufanya mambo in favor of government ndio sahihi coz' utaifurahisha!! Hawa wanazani ku-cover mambo ya serikali ndio sahihi ili wasionekane maadui wa serikali! Trust me, kuna mengine wala hawaagizwi kuyafanya, bali wanayafanya tu ili waonekane wanailinda serikali!!Sasa kwann anataka kuwaaminisha watanzania kuwa yupo sure kuwa flan na flan ndo wafanya tukio na ni kama vile anawasubiri warudi toka safari ndipo awatight. Sio kauli za kisiasa sehemu inayohitaji professionalism?? Na kwanini anaongea mengi km chiriku badala ya kutenda mengi kama nyuki??Matukio yanayogubibwa na sarakasi nyingi hapa nchini tunauzoefu kuwa yanaishiaga hewani tu. Tujipe muda tuone hii movie.
dynamics zipi mjinga wewe!!!!!the major task of any serious government is to hold inflation at a favourable rate, iwe ni mafuta yamepanda, ukame or whatever..a tactical govt knows how to fix the economic models! ndio maana serikali yako hata mambo madogo tu ya usimamizi wa sheria yamewashinda, wanalalama tu!they deserve to be out!!!!
Vyama vyote huwa vina dark side when it comes overcoming dark obstructions from the opponents. Lakini tofauti ni nanma vinavyohakikisha vinatoka clean. Hapa inadhihirisha kuwa cdm bado ina wanasiasa wachanga sana. Hivi kweli mkurugenzi wa usalama wa chama anaweza kuwa mzembe hivi? Anajiongelea tu bila kuwa na idea ya kurekodiwa! Video hii ni halisi si ya kutengenezwa hata kidogo. Labda querry itakuwa kwenye maudhui-alikuwa anazungumzia nani?? Hapa chadema inatawagharimu kutokana na uzembe wa mtu mmoja sio siri. Na watanzania watataka maelezo. Maskini tanzania itabaki kuwa ya kidumu kilekile tu hata kama kinatunyonya kwa kuwa genge la wezi na kuuza kila kitu!
Wakati Chacha Wangwe anauawa kama mkakati wa CCM kuisambaratisha CHADEMA Rwakatare alikuwa bado ni mwanachama wa CUF sasa alikuwa akiengineer mipango ya mauaji ya CDM akingali CUF? tatizo CCM mna akili ndogo kuliko ya kuku! Mtajitahidi kusukumia tuhuma zenu CHADEMA lakini kwa vile CHADEMA ina baraka za mungu na haina mipango miovu yoyote mwisho ni hatia yenu kuthibitika ICC. Hakuna anayeweza kuthibitisha pasipo kuacha shaka kuwa kuna muunganiko wa maneno ya Rwakatare yanayopanga mkakati ovu wa kiCCM. mwenye akili yeyote atagundua ni vitu vya kuunga unga ili kuhamisha attention ya suala la Kibandatatizo wewe ni katika wale wanopenda kuona kile wanachoamini na si kuamini kile wanachokiona,wenye macho wanaiona hiyo video,you cant cover up kitu kilichowazi kwenye mitandao and every thing,chadema has to come clear kwenye hili,mambo ya kuisingizia serikali kwa uovu wa wenu yamefikia mwisho,mungu ana mambo yake ona mnavyodharirika sasa,kumbe hata chacha wangwe yalimkuta yatokanayo na vikao kama hivi vya mikakati ya lwakatare!shame on you guys
Maswali ninayojiuliza ni haya ,
1. Hivi ni kwanini Lwakatare ameamua kujirekodi na kuweka hiyo santuri yake hadharani ? Kwani ukisikiliza pale mwanzo utasikia mtu akitamka Mic na akisema hapo sawa , naye anaitika sawa maana yake ni kuwa walikuwa wanaset....
Naungana nawewe kwamba video hii ni ya kutengenezwa kwani director anaonekana kujisahau kukata kipande cha maelekezo kabla ya start haswa pale anaposema "....MIC" halaf actor akarespond kujua kama tayari mtambo umesetiwa aanze kutiririka. Na sasa nakubaliana na kauli ya kwamba CCM wameweka mbinu "NGUMU KUTAFSIRI" ili kuihujumu CHADEMA chini ya usimamizi wa January Makamba
Majibu yote yapo hapo, kweli wamemumbuka, duh! Njia ya muongo ni fupi sana, haiwezekani uwe kachero alafu muende kufanya kama bongo movie.
NGOJA ni ISHUSHE kabla hawaja weka NYINGINE, Bada ya kwenda ku EDIT haya MAKOSA yao.
Yaani wanatafuta misifa! Sa jibaba kama hili kufanya anayoyafanya haon anaifedhehesha familia yake??Dah! njaa bana!!Tatizo sio Kova bali ni Watendaji wetu walio wengi wanapenda kufanya mambo kwa kujipendekeza kwa watawala!! Hawa, wanazani kufanya mambo in favor of government ndio sahihi coz' utaifurahisha!! Hawa wanazani ku-cover mambo ya serikali ndio sahihi ili wasionekane maadui wa serikali! Trust me, kuna mengine wala hawaagizwi kuyafanya, bali wanayafanya tu ili waonekane wanailinda serikali!!
Kwanza Mazingira ya hii picha kwa jinsi yalivyo utaelewa kabisa kwamba ni ya siku nyingi sana na pili anagalia sura ya Lwakatale aliyonayo kwa sasa na fananisha na hiyo ya Video utaelewa tofauti. Hapa kwenye Server yangu nimetafuta picha nyingi hadi za wiki hii na sura ilioko kwenye video hapo juu ni ya Lwakatale ya Mwaka 1999.Kwa hiyo wanabodi msichangie upuuzi wa magamba.Net inasumbua ila ikikaa sawa naweka sura zake toka mwaka 1995 hadi sasa.Unaweza kueleza kama mtaalamu wa IT umegundua nini.?
Nyie akina nani?! Ambae alini-quote alinihusisha na magamba...so, panahitajika mtu kuwa na degree kufahamu anatetea nini?!Kwa hiyo tatizo ni Chadema siyo? Kama ndivyo tumewaelewa.
Hujawa makini katika kuiangalia hiyo video. 1. hiyo video inaanza kwa kuonyesha meza halafu inamfuata Lwakatale alipokaa na kumuweka sawa. Camera ya simu iliyowekwa kwenye mfuko wa shati isingeweza kufanya hayo. Pili hiyo video haiwezi kuwa imechukuliwa na mtu anayezuga kutuma message, kwa kwua asingeweza kutuma msg kwa dk kumi na saba. na zaidi ya yote, ingekuwa mara kwa mara inatoka nje ya Lwakatare na ni dhahiri ingewarekodi na wengine waliopo karibu. Lakini hiyo video ipo straight kwa Lwakatare bila kukwepesha. Kama una utaalamu wa kusoma video, unaweza kuelewa hiyo video imechakuliwaje? na sitaki sana kuamini kama hiyo ni camera ya simu kwa kuwa quality ya video kwa mwanga uliokuwepo haiendani na camera ya less than 10 pixel.