Shakazulu
JF-Expert Member
- Feb 23, 2007
- 957
- 280
next tym b sure of usemayo...una uhakika hiyo kamati iliyoundwa members wake hawana uhusiano na watuhumiwa???ndo yale yale kesi ya ngedere anapewa nyani
Mkuu kama maneno yako ni kweli basi wanakamati hiyo wanahitajika kutoka nchi nyingine, hivi ni nani Tanzania asiyemjua mwingine? Eti ni jaji wa mahakama gani bongo hamjui kiongozi yoyote wa CCM au upinzani? Sasa kesi zao tukazifanyie wapi?
Mkuu nadhani kumjua mtu siyo tatizo, tatizo linakuja pale ambapo wana uhusiano wa namna moja au nyingine kama vile biashara n.k. Labda huyo aliyesema kuwa kuna baadhi ya wanakamati wana uhusiano na mafisadi angetuwekea bayana huo uhusiano uliopo then tujadili.