Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,404
Kuna siku utatumwa kukata hicho kichwa chako.............NA KWA JINSI UNAVYOJIELEZA.............UTAKATA KWELI NA HUO NDO UTAKUWA MWISHO WAKOKama si kwa huruma ya JK leo SLAA angekuwa kizuizini.
CDM endeleen kuleta makelele ila nawaonya kuwa nchii hi ina jeshi la kumlinda rais na katiba.
Uchaguzi umeisha makelele ya nini sasa?wanainchi wasiendee shambani wahudhurie maandamano mwisho wa siku wale mavuno yapi?
CDM munatumia kuwaongaa waandishi wa habari uchwara waandike upuuzi wenu ila hamtafua dafu
Mwisho SLAA kazeeka anasumbuliwa na magonjwa ya kizee atawapoteza