Queen Kyusa
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 663
- 162
kiujumla chadema imekosa sababu za kuikosoa serikali ndo maana wanataka makubwa yatokee ili wapate sababu za kwenda ikulu. Na watu kama hawa wakiingia ikulu kutoka kwake ni kwa tindo. Na wamekuwa wakifanya vituko visivyo na maana.inawezekanaje watu wanasikitika watu wao wameuawa halafu wao waende wakawafariji wakiwa kama wakinanani? Kama sio laana nini?
Hapo kwenye red nina mashaka na uwezo wako wa kufikiri na uelewa wako wa hali ya kisiasa nchi,kwanini ccm inajivua magamba?kwanini serikali ilikurupuka na kupunguza bei ya sukari?
Na hapo kwenye blue nikama serikali ya magamba inavyotaka kutolewa kwa tindo,chama cha magamba ndo chanzo cha kufanya vituko visivyo na maana kama ishu yao ya kujivua magamba wakati hali ya maisha imebana kila kona,sasa ss porojo zao za kujivua magamba zitamsaidia nini bibi yako kijijini anaye kufa kwa njaa,ndugu yangu we huoni kama ni vituko visivyo na maana hivyo.
Lisu ni mtetezi wa wanyonge upande wa haki utashinda.