Cha mtu kitamuuu

Vaislay

JF-Expert Member
Jun 26, 2011
4,532
1,822
kwa wale tupendao cha mtu,especially mke au mume au wale njoo kwa muda nikuone...we unadandia kwa mbele unajua walitoka wap mpaka hapo ulipomwona wewe anakuvutia?.......mbona twapenda vya mbele.si uanzishe chakooooo.......khaaa,et wewe....huwaoni huko ulikotoka au ulikopita?
 
kwa wale tupendao cha mtu,especially mke au mume au wale njoo kwa muda nikuone...we unadandia kwa mbele unajua walitoka wap mpaka hapo ulipomwona wewe anakuvutia?.......mbona twapenda vya mbele.si uanzishe chakooooo.......khaaa,et wewe....huwaoni huko ulikotoka au ulikopita?
samahani, we ni mtanzania??
 
ngoja nisubiri wapenda vya watu watavyokunanga hapa,....anyway ni tabia mbaya lakn
 
ngoja nisubiri wapenda vya watu watavyokunanga hapa,....anyway ni tabia mbaya lakn
sasa mnataka wapende vya WANYAMA.....km wew ni mtu nilazima upende vya watu...KUKAMILISHA CYCLE.:dance:
 
Duh, hizi mada nyingine bana, mbona zimekuja mchana kweupe hivi halafu hazijavaa hata nguo!! Naogopa mie
 
kwa wale tupendao cha mtu,especially mke au mume au wale njoo kwa muda nikuone...we unadandia kwa mbele unajua walitoka wap mpaka hapo ulipomwona wewe anakuvutia?.......mbona twapenda vya mbele.si uanzishe chakooooo.......khaaa,et wewe....huwaoni huko ulikotoka au ulikopita?

Hapo hapo alipokuvutia ruka naye hayo mengine ni academic
 
Kichwa cha habari na habari yenyewe tofauti utafikiri nyimbo za bongo fleva au vichwa vya habari vya magazeti ya udaku!
 
Chamtu kibaya we jaribu kuoa au kwamabint kuolewa then utajua uchungu wake maana nibalaa mi nikikuta na wife wangu lzm ulipe starehe yangu. and wife atakoma 9t hiyo mikito. kiujumla sio fresh chawa2 noma maana kimelipiwa vati
 
Hata kazini anahitajika mtu mwenye uzoefu.ndio cha mtu kitamu kwa sababu tayari kinakuwa na uzoefu
 
Back
Top Bottom