Rwakibarila mkubwa wewe!...Habari toka ndani ya chungu ni kuwa kuna mpango unaendela kupikwa kumshawishi Mchungaji Mwasapila... Babu wa kikombe agombee ubunge Arusha Mjini kwa tiketi ya CDM ili kujibu mapigo ya Magamba kumshawishi Mwakasege...
Imekaaje hii wakubwa???
Mkuu Chiume, naona hii ni post yako ya kwanza tangu ujiunge na jf, karibu sana. Tunakusihi utuletee chanzo cha habari hii, la si hivyo tutakuchukulia kuwa wewe ni mzushi na mpenda sifa za kipumbavu!Habari toka ndani ya chungu ni kuwa kuna mpango unaendela kupikwa kumshawishi Mchungaji Mwasapila... Babu wa kikombe agombee ubunge Arusha Mjini kwa tiketi ya CDM ili kujibu mapigo ya Magamba kumshawishi Mwakasege...
Imekaaje hii wakubwa???
Habari toka ndani ya chungu ni kuwa kuna mpango unaendela kupikwa kumshawishi Mchungaji Mwasapila... Babu wa kikombe agombee ubunge Arusha Mjini kwa tiketi ya CDM ili kujibu mapigo ya Magamba kumshawishi Mwakasege...
Imekaaje hii wakubwa???
Mods ipelekeni kwenye jukwaa la UTANI, Unaanza vibaya humu jamvini
Habari toka ndani ya chungu ni kuwa kuna mpango unaendela kupikwa kumshawishi Mchungaji Mwasapila... Babu wa kikombe agombee ubunge Arusha Mjini kwa tiketi ya CDM ili kujibu mapigo ya Magamba kumshawishi Mwakasege...
Imekaaje hii wakubwa???
Imekaa kidwanzidwanzi kama ulivyomwenyeweHabari toka ndani ya chungu ni kuwa kuna mpango unaendela kupikwa kumshawishi Mchungaji Mwasapila... Babu wa kikombe agombee ubunge Arusha Mjini kwa tiketi ya CDM ili kujibu mapigo ya Magamba kumshawishi Mwakasege...
Imekaaje hii wakubwa???
Sintoshangaa, Magwanda kwa sasa wanahaha, wanaweza kuparamia chochote.
Nimei like...Imekaa kidwanzidwanzi kama ulivyomwenyewe
1 Imekuonesha ulivyomjiinga na
2 Hujitambui
3. Nenda FB wapo dizain yako
4. People huko serious
.Rwakibarila mkubwa wewe!...